Wanaofanya vetting ya viongozi nao wafanyiwe vetting

Wanaofanya vetting ya viongozi nao wafanyiwe vetting

mcTobby

JF-Expert Member
Joined
Feb 16, 2018
Posts
4,072
Reaction score
12,119
Kila nikijaribu kuvuta picha ya aina ya viongozi tulionao hususan kwenye mashirika na taasisi nyeti za nchi napata mashaka makubwa sana kama taifa tutapiga hatua za kimaendeleo ambazo kila mmoja wetu anatamani zifanikiwe kwenye taifa hili.

Je, wafanya vetting hawako vigilant kutambua ya kwamba kuna viongozi hawajielewi na wanachokifanya? Au ndio kusema kulindana kimaslahi?

GENTAMYCINE Mshana Jr na think wengine tank wa humu JF, hamuoni ya kwamba vetting system na wenyewe wafanyiwe vetting? Maana naona hawako serious.
 
Kila nikijaribu kuvuta picha ya aina ya viongozi tulionao hususan kwenye mashirika na taasisi nyeti za nchi napata mashaka makubwa sana kama taifa tutapiga hatua za kimaendeleo ambazo kila mmoja wetu anatamani zifanikiwe kwenye taifa hili.

Je, wafanya vetting hawako vigilant kutambua ya kwamba kuna viongozi hawajielewi na wanachokifanya? Au ndio kusema kulindana kimaslahi?

GENTAMYCINE Mshana Jr na think wengine tank wa humu JF, hamuoni ya kwamba vetting system na wenyewe wafanyiwe vetting? Maana naona hawako serious.
Asante kwa Kuona Thamani yangu na Kunitambua pia mpaka kuniita Think Tank katika Maelezo yako nikiwa pamoja na Mdau Mshana Jr ila sijajua tu umejiandaaje Kisaikolojia kusikia ( kuambiwa ) na wale Watesi wangu ( Wanaonichukia ) hapa kuwa hii ID yako ni yangu na kwamba hapa ni Mimi Mwenyewe ndiyo nimejianzishia huu Uzi ili Kujisifu na kutafuta Umaarufu pamoja na attention kwa Watu.

Sitakiwi Kusifiwa wala Kupendwa hapa Mkuu isipokuwa natakiwa tu Kuchukiwa, Kutukanwa, Kudhihakiwa na Kushambuliwa ili 'Critics' wangu Wafurahi / Wafurahie.

Kuhusu Hoja yako nzuri, pana na Muhimu uliyonishirikisha ni kwamba Utaratibu na Umakini wa 'Vetting' ulianza Kuharibika katika Awamu ya Nne na Ukarithiwa kidogo na Awamu ya Tano na katika Awamu hii ya Sita ( ambayo hata hivyo Mimi GENTAMYCINE bado naiita ni ya Awamu ya Tano Muhula wa Pili ) naona yale yale ya Awamu ya Nne yanajirudia.

Nikusaidie tu 'Vettings' za Kweli kwa Tanzania zilikuwa katika Awamu ya Kwanza na ya Tatu tu na sijaitaja Awamu ya Pili kwakuwa katika Awamu hii Uswahili na Unafiki ulianza Kushamiri, Misingi Kupuuzwa na nchi kwenda 'Kihunihun'i tu mpaka pale Watu waliokuwa na Uchungu na nchi waliposimama Kidete, Kukemea na kuirudisha katika Mstari wake.

Naomba niwaachie wengine wachangie.
 
Asante kwa Kuona Thamani yangu na Kunitambua pia mpaka kuniita Think Tank katika Maelezo yako nikiwa pamoja na Mdau Mshana Jr ila sijajua tu umejiandaaje Kisaikolojia kusikia ( kuambiwa ) na wale Watesi wangu ( Wanaonichukia ) hapa kuwa hii ID yako ni yangu na kwamba hapa ni Mimi Mwenyewe ndiyo nimejianzishia huu Uzi ili Kujisifu na kutafuta Umaarufu pamoja na attention kwa Watu.

Sitakiwi Kusifiwa wala Kupendwa hapa Mkuu isipokuwa natakiwa tu Kuchukiwa, Kutukanwa, Kudhihakiwa na Kushambuliwa ili 'Critics' wangu Wafurahi / Wafurahie.

Kuhusu Hoja yako nzuri, pana na Muhimu uliyonishirikisha ni kwamba Utaratibu na Umakini wa 'Vetting' ulianza Kuharibika katika Awamu ya Nne na Ukarithiwa kidogo na Awamu ya Tano na katika Awamu hii ya Sita ( ambayo hata hivyo Mimi GENTAMYCINE bado naiita ni ya Awamu ya Tano Muhula wa Pili ) naona yale yale ya Awamu ya Nne yanajirudia.

Nikusaidie tu 'Vettings' za Kweli kwa Tanzania zilikuwa katika Awamu ya Kwanza na ya Tatu tu na sijaitaja Awamu ya Pili kwakuwa katika Awamu hii Uswahili na Unafiki ulianza Kushamiri, Misingi Kupuuzwa na nchi kwenda 'Kihunihun'i tu mpaka pale Watu waliokuwa na Uchungu na nchi waliposimama Kidete, Kukemea na kuirudisha katika Mstari wake.

Naomba niwaachie wengine wachangie.
Ooohoooooo, awamu ya tano muhula wa pili tena!!!
Vipi mama akirudi 2025 ndio itakua awamu ya sita au bado ni awamu ya tano muhula wa pili(b)? Seriously naombeni majibu
 
Ooohoooooo, awamu ya tano muhula wa pili tena!!!
Vipi mama akirudi 2025 ndio itakua awamu ya sita au bado ni awamu ya tano muhula wa pili(b)? Seriously naombeni majibu
Kimsingi huu ni muhula wa pili wa awamu ya tano, waasisi wa propaganda ya awamu ya sita wanalenga 2025 hasa kwenye kipengele cha kupita bila kupingwa kwenye uchafuzi ndani ya chama twawala.......
 
Kimsingi huu ni muhula wa pili wa awamu ya tano, waasisi wa propaganda ya awamu ya sita wanalenga 2025 hasa kwenye kipengele cha kupita bila kupingwa kwenye uchafuzi ndani ya chama twawala.......
Asante kwa majibu
 
Asante kwa Kuona Thamani yangu na Kunitambua pia mpaka kuniita Think Tank katika Maelezo yako nikiwa pamoja na Mdau Mshana Jr ila sijajua tu umejiandaaje Kisaikolojia kusikia ( kuambiwa ) na wale Watesi wangu ( Wanaonichukia ) hapa kuwa hii ID yako ni yangu na kwamba hapa ni Mimi Mwenyewe ndiyo nimejianzishia huu Uzi ili Kujisifu na kutafuta Umaarufu pamoja na attention kwa Watu.

Sitakiwi Kusifiwa wala Kupendwa hapa Mkuu isipokuwa natakiwa tu Kuchukiwa, Kutukanwa, Kudhihakiwa na Kushambuliwa ili 'Critics' wangu Wafurahi / Wafurahie.

Kuhusu Hoja yako nzuri, pana na Muhimu uliyonishirikisha ni kwamba Utaratibu na Umakini wa 'Vetting' ulianza Kuharibika katika Awamu ya Nne na Ukarithiwa kidogo na Awamu ya Tano na katika Awamu hii ya Sita ( ambayo hata hivyo Mimi GENTAMYCINE bado naiita ni ya Awamu ya Tano Muhula wa Pili ) naona yale yale ya Awamu ya Nne yanajirudia.

Nikusaidie tu 'Vettings' za Kweli kwa Tanzania zilikuwa katika Awamu ya Kwanza na ya Tatu tu na sijaitaja Awamu ya Pili kwakuwa katika Awamu hii Uswahili na Unafiki ulianza Kushamiri, Misingi Kupuuzwa na nchi kwenda 'Kihunihun'i tu mpaka pale Watu waliokuwa na Uchungu na nchi waliposimama Kidete, Kukemea na kuirudisha katika Mstari wake.

Naomba niwaachie wengine wachangie.

Hahaha, Popoma wewe ni think tank, sema una kiburi cha ujuvi.
 
Ooohoooooo, awamu ya tano muhula wa pili tena!!!
Vipi mama akirudi 2025 ndio itakua awamu ya sita au bado ni awamu ya tano muhula wa pili(b)? Seriously naombeni majibu
Nina Mzio ( Allergy ) ya kujibu Maswali ya Kipumbavu na Kitoto kama hili lako tafadhali.
 
Asante kwa Kuona Thamani yangu na Kunitambua pia mpaka kuniita Think Tank katika Maelezo yako nikiwa pamoja na Mdau Mshana Jr ila sijajua tu umejiandaaje Kisaikolojia kusikia ( kuambiwa ) na wale Watesi wangu ( Wanaonichukia ) hapa kuwa hii ID yako ni yangu na kwamba hapa ni Mimi Mwenyewe ndiyo nimejianzishia huu Uzi ili Kujisifu na kutafuta Umaarufu pamoja na attention kwa Watu.

Sitakiwi Kusifiwa wala Kupendwa hapa Mkuu isipokuwa natakiwa tu Kuchukiwa, Kutukanwa, Kudhihakiwa na Kushambuliwa ili 'Critics' wangu Wafurahi / Wafurahie.

Kuhusu Hoja yako nzuri, pana na Muhimu uliyonishirikisha ni kwamba Utaratibu na Umakini wa 'Vetting' ulianza Kuharibika katika Awamu ya Nne na Ukarithiwa kidogo na Awamu ya Tano na katika Awamu hii ya Sita ( ambayo hata hivyo Mimi GENTAMYCINE bado naiita ni ya Awamu ya Tano Muhula wa Pili ) naona yale yale ya Awamu ya Nne yanajirudia.

Nikusaidie tu 'Vettings' za Kweli kwa Tanzania zilikuwa katika Awamu ya Kwanza na ya Tatu tu na sijaitaja Awamu ya Pili kwakuwa katika Awamu hii Uswahili na Unafiki ulianza Kushamiri, Misingi Kupuuzwa na nchi kwenda 'Kihunihun'i tu mpaka pale Watu waliokuwa na Uchungu na nchi waliposimama Kidete, Kukemea na kuirudisha katika Mstari wake.

Naomba niwaachie wengine wachangie.
Vetting imejaa michongo mingi...Unaweza hata kuzushiwa jambo usipokuwa makini pale ambapo unaonekana wewe si wa kufanya vitu kama rubber stamp...
 
Kila nikijaribu kuvuta picha ya aina ya viongozi tulionao hususan kwenye mashirika na taasisi nyeti za nchi napata mashaka makubwa sana kama taifa tutapiga hatua za kimaendeleo ambazo kila mmoja wetu anatamani zifanikiwe kwenye taifa hili.

Je, wafanya vetting hawako vigilant kutambua ya kwamba kuna viongozi hawajielewi na wanachokifanya? Au ndio kusema kulindana kimaslahi?

GENTAMYCINE Mshana Jr na think wengine tank wa humu JF, hamuoni ya kwamba vetting system na wenyewe wafanyiwe vetting? Maana naona hawako serious.
CCM haina vetting bali ina watoto wa wastaafu na marehemu
 
Ndio maana Kuna watu wanadai katiba mpya..Katiba ya warioba ilipendekeza baadhi ya viongozi wa serikali wanaoteuliwa na Raisi etc lazima wathibitishwe na Bunge au tume au taasisi zingine

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Kila nikijaribu kuvuta picha ya aina ya viongozi tulionao hususan kwenye mashirika na taasisi nyeti za nchi napata mashaka makubwa sana kama taifa tutapiga hatua za kimaendeleo ambazo kila mmoja wetu anatamani zifanikiwe kwenye taifa hili.

Je, wafanya vetting hawako vigilant kutambua ya kwamba kuna viongozi hawajielewi na wanachokifanya? Au ndio kusema kulindana kimaslahi?

GENTAMYCINE Mshana Jr na think wengine tank wa humu JF, hamuoni ya kwamba vetting system na wenyewe wafanyiwe vetting? Maana naona hawako serious.
Sorry MC Tobby nimefika kwa kuchelewa sasa nipo
 
Nina Mzio ( Allergy ) ya kujibu Maswali ya Kipumbavu na Kitoto kama hili lako tafadhali.
Yaani popoma unaanzisha uzi kwa Id nyingine unajijibu na mbaya zaidi unaharibu uzi wako kwa matusi,sasa umemtukania nini huyo mzee wa watu kakukosea ninj
 
1642758926313.png
 
Asante kwa Kuona Thamani yangu na Kunitambua pia mpaka kuniita Think Tank katika Maelezo yako nikiwa pamoja na Mdau Mshana Jr ila sijajua tu umejiandaaje Kisaikolojia kusikia ( kuambiwa ) na wale Watesi wangu ( Wanaonichukia ) hapa kuwa hii ID yako ni yangu na kwamba hapa ni Mimi Mwenyewe ndiyo nimejianzishia huu Uzi ili Kujisifu na kutafuta Umaarufu pamoja na attention kwa Watu.
unajitekenya na kucheka mwenyewe. punguza IDs kijana 🤣🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom