Wanaofurahi chasambi kujifunga je wamesahau mzize kama tutakosa Afcon ni goli alilojifunga!

Wanaofurahi chasambi kujifunga je wamesahau mzize kama tutakosa Afcon ni goli alilojifunga!

kipara kipya

JF-Expert Member
Joined
May 2, 2016
Posts
18,833
Reaction score
23,276
Manara alisema wenye akili yanga ni wawili tu ila hata yeye hana akili pia aliy komwe hana akili na wengineo....akili zao kama za kuku wameprint jezi jina la chasambi kisa tu kujifunga ni upuuzi wa hali ya juu wamesahau mechi ya kongo mzize ndio aliyetuangusha hakuna aliyeprint jezi mimi nasema ushabiki wa sasa hivi ni wa kishamba sana mpira umevamiwa na wachunga ng'ombe haswa mashabiki wa yanga ni washamba sana!
 
Manara alisema wenye akili yanga ni wawili tu ila hata yeye hana akili pia aliy komwe hana akili na wengineo....akili zao kama za kuku wameprint jezi jina la chasambi kisa tu kujifunga ni upuuzi wa hali ya juu wamesahau mechi ya kongo mzize ndio aliyetuangusha hakuna aliyeprint jezi mimi nasema ushabiki wa sasa hivi ni wa kishamba sana mpira umevamiwa na wachunga ng'ombe haswa mashabiki wa yanga ni washamba sana!
AFCoN ipi sasa mbona kama huna akili?
 
KWAHIYO JEZI ZILIZOANDIKWA CHASAMBI WAMECHOMA MOTO SIO?
 
Manara alisema wenye akili yanga ni wawili tu ila hata yeye hana akili pia aliy komwe hana akili na wengineo....akili zao kama za kuku wameprint jezi jina la chasambi kisa tu kujifunga ni upuuzi wa hali ya juu wamesahau mechi ya kongo mzize ndio aliyetuangusha hakuna aliyeprint jezi mimi nasema ushabiki wa sasa hivi ni wa kishamba sana mpira umevamiwa na wachunga ng'ombe haswa mashabiki wa yanga ni washamba sana!
Aliyemuelewa anisaidie.
 
Back
Top Bottom