kipara kipya
JF-Expert Member
- May 2, 2016
- 18,833
- 23,276
AFCoN ipi sasa mbona kama huna akili?Manara alisema wenye akili yanga ni wawili tu ila hata yeye hana akili pia aliy komwe hana akili na wengineo....akili zao kama za kuku wameprint jezi jina la chasambi kisa tu kujifunga ni upuuzi wa hali ya juu wamesahau mechi ya kongo mzize ndio aliyetuangusha hakuna aliyeprint jezi mimi nasema ushabiki wa sasa hivi ni wa kishamba sana mpira umevamiwa na wachunga ng'ombe haswa mashabiki wa yanga ni washamba sana!
Afcon zipo ngapi kwa akili yako!AFCoN ipi sasa mbona kama huna akili?
Mkongo uheshimiwe tafadhali.Ligi yenye wachezaji ambao mpaka wachome masindano ndio wafunge
Yaani kama shuhuli haiendi mpaka upake mkongo hapo ujue ndio basi tena
Ngoja tumuulize mzungu pori!KWAHIYO JEZI ZILIZOANDIKWA CHASAMBI WAMECHOMA MOTO SIO?
Kuna uhuni na ushamba wale ni washamba!Yanga wahuni wanakunywa visungura na ugoro.
Tupe uzoefu mkuuMkongo uheshimiwe tafadhal
We mbogamboga unazungumzia AFCON au WORLD CUP? maana CAN na CHAN zote tushafuzuAfcon zipo ngapi kwa akili yako!
Mkuu, kwakua tendo la ndoa ni faragha, we tumia tu kimya kimya, utaupa heshima. Madogo qanaropoka sana siku hiziTupe uzoefu mkuu
Hao ni mashabiki maandazi wanafatilia drama za Yanga na Simba tu hawajui kuhusu soka.AFCoN ipi sasa mbona kama huna akili?
Aliyemuelewa anisaidie.Manara alisema wenye akili yanga ni wawili tu ila hata yeye hana akili pia aliy komwe hana akili na wengineo....akili zao kama za kuku wameprint jezi jina la chasambi kisa tu kujifunga ni upuuzi wa hali ya juu wamesahau mechi ya kongo mzize ndio aliyetuangusha hakuna aliyeprint jezi mimi nasema ushabiki wa sasa hivi ni wa kishamba sana mpira umevamiwa na wachunga ng'ombe haswa mashabiki wa yanga ni washamba sana!