Wanaoifahamu Cuba naomba kufahamu haya

Wanaoifahamu Cuba naomba kufahamu haya

Charliemic

JF-Expert Member
Joined
Feb 17, 2019
Posts
602
Reaction score
969
Ninaomba kujuzwa hali ya maisha ya Cuba, lugha wanayozungumza, gharama za malazi na vyakula.
 
kutokana na knowledge niliyoipata kwenye vipindi vya youtube, maisha ya HAVANNA ni kawaida tu kama dar, kuna maeneo ya watu wa kipato cha chini wengi , jaribu kuingia youtube kila kitu kipo


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Naam!

Cuba ni nchi ambayo kijiografia ni kisiwa kinachopatikana Amerika ya kaskazini na kati yaani North America and Central America (Caribbean).

Cuba mji wake mkuu na mji wenye utajiri ni Havana ambayo inapatikana katika rasi ya Florida.

Nchi ya Cuba inayo miji mikubwa kama Santa Clara, Camaguey, Pinar del Rio, Matanzas, Holguin, Guantanamo, Santiago de Cuba na Ciego de Avila.

Ukiwa Cuba distance chache utaweza kufika Florida, US., The Bahamas., Merida, Mexico,. Jamaica, Haiti au Dominican Republic.

Lugha rasmi na kuu ni Kihispaniora "Spanish", Huku imani ya kidini kuu ni Roman Catholic.

Mfumo wa Kiserikali na nchi hii ya Cuba ni Communist Republic yaani nchi yenye mlengo wa Ujamaa. Masuala ya kuombana chumvi, viberiti na kuchapiana watoto yanaweza yakawa yakawaida.

Cuban Peso 1 ni sawa na Centavos 100.

Kila la kheri, hasa kama wewe ni Mtanzania utapokelewa vizuri kwa vigelele na bashasha.
 
Naam!

Cuba ni nchi ambayo kijiografia ni kisiwa kinachopatikana Amerika ya kaskazini na kati yaani North America and Central America (Caribbean).

Cuba mji wake mkuu na mji wenye utajiri ni Havana ambayo inapatikana katika rasi ya Florida.

Nchi ya Cuba inayo miji mikubwa kama Santa Clara, Camaguey, Pinar del Rio, Matanzas, Holguin, Guantanamo, Santiago de Cuba na Ciego de Avila.

Ukiwa Cuba distance chache utaweza kufika Florida, US., The Bahamas., Merida, Mexico,. Jamaica, Haiti au Dominican Republic.

Lugha rasmi na kuu ni Kihispaniora "Spanish", Huku imani ya kidini kuu ni Roman Catholic.

Mfumo wa Kiserikali na nchi hii ya Cuba ni Communist Republic yaani nchi yenye mlengo wa Ujamaa. Masuala ya kuombana chumvi, viberiti na kuchapiana watoto yanaweza yakawa yakawaida.

Cuban Peso 1 ni sawa na Centavos 100.

Kila la kheri, hasa kama wewe ni Mtanzania utapokelewa vizuri kwa vigelele na bashasha.
Upo vizuri mkuu kwenye mpangilio wa uelezeaji

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naam!

Cuba ni nchi ambayo kijiografia ni kisiwa kinachopatikana Amerika ya kaskazini na kati yaani North America and Central America (Caribbean).

Cuba mji wake mkuu na mji wenye utajiri ni Havana ambayo inapatikana katika rasi ya Florida.

Nchi ya Cuba inayo miji mikubwa kama Santa Clara, Camaguey, Pinar del Rio, Matanzas, Holguin, Guantanamo, Santiago de Cuba na Ciego de Avila.

Ukiwa Cuba distance chache utaweza kufika Florida, US., The Bahamas., Merida, Mexico,. Jamaica, Haiti au Dominican Republic.

Lugha rasmi na kuu ni Kihispaniora "Spanish", Huku imani ya kidini kuu ni Roman Catholic.

Mfumo wa Kiserikali na nchi hii ya Cuba ni Communist Republic yaani nchi yenye mlengo wa Ujamaa. Masuala ya kuombana chumvi, viberiti na kuchapiana watoto yanaweza yakawa yakawaida.

Cuban Peso 1 ni sawa na Centavos 100.

Kila la kheri, hasa kama wewe ni Mtanzania utapokelewa vizuri kwa vigelele na bashasha.
vp gharama za hotel na gharama za vyakula kule!??
 
Ukifika usisahau kuleta mrejesho.

Sent from my SM-G532F using Tapatalk
 
vp gharama za hotel na gharama za vyakula kule!??
Uwapo Cuba utakuwa umebadilisha mazingira lakini tactically ni sawa na mienendo ya nchi nyingi za kijamaa.

Hotel za Cuba unaweza kupata kwa kuanzia wastani wa elfu arobaini za kiTanzania hadi zenye hadhi ya nyota tano. (Nikimaanisha hadi 300k ni vitu vya kawaida) maana ikumbukwe Cuba ni sehemu ya kitalii pia.

Kuhusu vyakula ni the same pia sio aghali utaweza kupata vyakula vyenye asili ya kiAfrika, kiCuba, kiMexico na vile vya magharibi.

Kwa kifupi nchi zenye mlengo wa Ujamaa ni sawa, uwapo Cuba, Russia, Ukraine, China, Venezuela, Bolivia au Tanzania na Mozambique mambo mengi yanabaki kuwa vilevile.

Kikubwa heshimu tamaduni na sheria hasa kutowasumbua watoto wa kike au kifuatilia yasiyokuhusu unaweza kujikuta unalima/palilia mashamba ya miwa. Kwa kifupi ishi kwa woga kama unaoishi nao nchini Tanzania.
 
Back
Top Bottom