Wanaoifahamu Nyarubanda high school(kigoma)

Joined
Jun 10, 2013
Posts
11
Reaction score
0
Wakuu naomba mnifahamishe kuhusu nyarubanda high schl ya kigoma mazingira kimasomo yanaridhisha?
 
Kwa ufupi mazingira yanaridhisha ila ni shule changa kidogo,haina miaka mitano imeanza.
 
Ipo kawaida tu,japo siikubali kiviiile kutokana na kuwa haina umeme wa uhakika labda kama wamerekebisha kwa sasa.But kijana,maisha popote,inategemeana tu na juhudi zako.Wapo waliosomea pale na wakatoka fresh tu.
 
Wengi wametoka na wachache waliofuatilia WATUTSI wamefulia.coz ni eneo ambalo kuna waschana weng wa kitutsi hivyo without determination u end up with zero
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…