Wanaoijua ifakara girls' sec school

Ibnu Nindi

JF-Expert Member
Joined
Dec 2, 2011
Posts
388
Reaction score
71
Jaman msaada kwa yeyote mwenye namba za cm za mkuu wa shule ifakara au namba ya mwalim yeyote ifakara sec.
 
kuna ishu nataka kuongea na mkuu au mwl yeyote
 
kwa kifupi nakupongeza kwa kupata nafasi ya kidato cha tano, ifakara girls ilianzishwa kwa malengo ya kilimo kama ilivyo weruweru, lakini gafula shule imegeuka kuwa pori work shops zote zimekufa na kilichobakia ni mwalimu mkuu msaidizi bwana isaya anatumia mashamba kukodisha afisa usalama wa wilaya, afisa elimu wilaya kilombero ndo wanafaidi mashamba ya pale na baada ya mwalimu mkuu kustaafu takribani mwaka sasa maadili ya watoto yamehuka na masomo pia shule iko chini sana kwani uongozi uliopo una urafiki na maafisa walioorodheshwa hapo juu. ushauri wangu nenda ujitume usome achana na mawasiliano kabisa na mwalimu mlezi wa TYCS ni kicheche ni balaa. so take care ndo walimu wetu wa siku hizi
 
hamis ni kweli wanayoyasema wadau kuwa umechaguliwa shule ya wasichana!
 
Last edited by a moderator:
jaman mie naendapiga fild uko jaman.naomben namba za walim uko jaman msaada wenu muhm!!!
 
Jaman mwenye namba,msaada ht ya mwl. Yeyote kuna mdogo wng kachaguliwa pale,sasa joining instruction inahitajika.plz help uz
 
Jaman mwenye namba,msaada ht ya mwl. Yeyote kuna mdogo wng kachaguliwa pale,sasa joining instruction inahitajika.plz help uz

mdogo wko anaenda soma comb gan? j5 naenda rpot km mwlim wa field.ikiwezkana ntakfanyia mpngo wwa joinng.Anaitwa nan???
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…