hahahhahahahaha KARIBU JF.....
How did you get the evidence that she offered herslf to be passed. Your contention is doubtful!
She is my X and I loved her a lot! Cwezi kuweka kila ki2 hadharani ambacho kinamhusu ila the thing hapened! I promissed to myself that I must revange oneday! Even afrer 10 years! Ila kuna rafiki zake kibao walifanya hivyo pia na wakafanikiwa! Sina chuki binafsi, ila ki ukweli, kile chuo kina uhuni mwingi sana japo siwezi kukielezea sana academically!
..Hiv IFM kuwa na alumni wanaofanya kazi BoT na TRA ndo linakifanya kiwe kizuri? Hivi haviwezi kuwa vigezo vya kupima ubora wa chuo. Kwa kifupi, chuo chochote bora kinapimwa kwa kuangalia teknolojia-uzalishaji na utumiaji wa teknolojia, idadi na ubora wa machapisho, elimu ya wahadhiri (kwa ngazi ya chuo, wahadhiri wanapaswa kuwa professors-sio wenye masters), na ukubwa wa chuo (kwa maana ya majengo na ukubwa wa ardhi). Hii BoT iliyojaa watoto wa wakubwa haiwezi kuwa kipimo sahihi cha ubora wa IFM.
Hivi yule alikyekuwa matron wenu ulipokuwa pale ndo mmiliki a hostel?nilimpeleka mdogo wangu hapo karibu ningemzzaba kofi,nasikia huyo mama ni balaa vyumba vya masters wanakaa watu wa nje ambao sio wanafunzi wanamlipa milioni 2 kwa mwaka na watoto wake 2 waliishi hostel bure ni kweli?Nimesoma IFM ni chuo kizuri kwakweli kama umeenda kusoma.
ifm ni chuo kizuli sana kutokana sababu zifuatao
1.watu wote waliofeli kinawachukua mpaka zero unasoma degree through mature entry
2.serikali ilikiweka maluum kwa wasanii waliokosa nafasi ya kusoma udsm wakaendelee pale
3.wauaza sura pale ndio maala pake........
ifm ni chuo kizuli sana kutokana sababu zifuatao
1.watu wote waliofeli kinawachukua mpaka zero unasoma degree through mature entry
2.serikali ilikiweka maluum kwa wasanii waliokosa nafasi ya kusoma udsm wakaendelee pale
3.wauaza sura pale ndio maala pake........