Mabibi na mabwana hivi watu kama hawa wanaonyanyasa na kudhulumu watu kwa kutumia mgongo wa serikali katika awamu ya hii wanasubiri nini maofisini?
Ni wazi kuwa watu hawa ni wanufaika mno wa hali hizi za wizi wizi walizozowea. Kama walivyo, katu hawawezi kujiondoa wenyewe!
Mama Samia tambua uwepo wa watu hawa wasio kufaa kwa lolote katika uongozi wako:
1. PCCB wote katika maeneo ambako polisi wameruhusu, ni waratibu na wanufaika wa biashara za wizi wa mafuta mabarabarani (Almaarufu wapiga videbe).
2. PCCB wote ambako wamewaacha polisi na LATRA kuruhusu biashara za kubeba abiria bila leseni husika.
Mawili haya yapo bayana kwenye uzi husika kama hivi:
www.jamiiforums.com
3. Polisi wanaochagua kusumbua watu wasiohusika, badala ya kuchagua busara katika kutanzua kero zao kwenye maeneo yote inapotokea hali kama hivi:
www.jamiiforums.com
Mama Samia tambua kuwa watendaji hawa kama wale wa luku na wa kushamiri kwa ujambazi, wanalo lao jambo dhidi yako.
Kwamba huwezi?
Wape fundisho hii mitu ya kuwa hii ni awamu ya sita!
Ni wazi kuwa watu hawa ni wanufaika mno wa hali hizi za wizi wizi walizozowea. Kama walivyo, katu hawawezi kujiondoa wenyewe!
Mama Samia tambua uwepo wa watu hawa wasio kufaa kwa lolote katika uongozi wako:
1. PCCB wote katika maeneo ambako polisi wameruhusu, ni waratibu na wanufaika wa biashara za wizi wa mafuta mabarabarani (Almaarufu wapiga videbe).
2. PCCB wote ambako wamewaacha polisi na LATRA kuruhusu biashara za kubeba abiria bila leseni husika.
Mawili haya yapo bayana kwenye uzi husika kama hivi:
Biashara haramu zenye kufadhiliwa na Mamlaka za Serikali
Mabibi na mabwana sasa hii nikiwa mjini kurejea maskani tokea hija - kanda pendwa. Safarini vituko ni vingi tokea kwenye operation kukusanya 30,000/= @ gari hadi biashara haramu chini ya mamlaka za serikali alimradi kazi inaendelea. Operation kusanya pesa nilileta uzi kamili...
3. Polisi wanaochagua kusumbua watu wasiohusika, badala ya kuchagua busara katika kutanzua kero zao kwenye maeneo yote inapotokea hali kama hivi:
Ni zipi Haki za Abiria? Basi la Super Feo limekalisha abiria hapa Chalinze tangu asubuhi, hakuna msaada wa Mamlaka au Mmiliki
Msaada kwa wenye uelewa wa jambo hili. Jamaa yangu amepanda gari la Super Feo kutoka Dar kuenda Songea asubuh, kufika Chalinze eneo la mlimani ajari ikatokea kati ya basi na boda. Wakaja polisi gari ikageuza kurudi kituoni Chalinze ilikuwa ni saa tatu na dakika zake. Tokea saa tatu mpaka...
Mama Samia tambua kuwa watendaji hawa kama wale wa luku na wa kushamiri kwa ujambazi, wanalo lao jambo dhidi yako.
Kwamba huwezi?
Wape fundisho hii mitu ya kuwa hii ni awamu ya sita!