Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kilaza kwelikweli hata hapo alipo ni janja janja tu.Huyu kijana ana uelewa Mdogo sana wa mambo, sijui kwanini huwa wanamweka mbele
Bima ni personal
Hawa sio wasanii anymore ni chawa wanao jiita wasanii, so wachukulieni kama wana siasaHawa bongo movie na comedians wa bongo kwa nini kwa muda mrefu sasa wamekuwa wakihitaji pesa za walipakodi wa Tanzania ziwahudumie katika mambo yao binafsi?
View attachment 3039950
Idrisa sultan yupo vizuri, kwenye uongozi angefaaNani ana uelewa mkubwa katika hiyo tasnia yao wanaeweza kumuweka mbele?
Ujakosea tena ni kundi la kuitaji msaada.Hawa bongo movie na comedians wa bongo kwa nini kwa muda mrefu sasa wamekuwa wakihitaji pesa za walipakodi wa Tanzania ziwahudumie katika mambo yao binafsi?
View attachment 3039950