NetMaster
JF-Expert Member
- Sep 12, 2022
- 1,454
- 4,925
Nashangaa sana kuona watu wanayopotoshana kwamba ujio wa starlink Internet hapa Tanzania ndio utakuwa suluhisho la unlimited internet ghali kama supakasi ya voda.
Kama hauwezi kumudu internet unlimited ya supakasi kwa 115,000 basi ondoa shaka kabisa kwamba star link itabaki kuwa ndoto daima.
Unawaza unafuu wa bei (afordability) ?
Dola $ 99 kila mwezi ? dola moja hio ni 2,300, zidisha upate majibu. hio bili utaweza kuimudu kila mwezi ?
Kufungiwa hio huduma hata tukionewa huruma tupo Africa haiwezi pungua chini ya milioni, utaweza ?
Faida ya starlink ni kwamba itapatikana miji na majiji karibu yote, vijiji karibu vyote, wilaya karibu zote, maporini, n.k tofauti na supakasi ambao katika kila mkoa ukiachana na Dar huwa wapo kwenye wilaya moja kuu tu. tena ni maeneo ya centre.
Kama hauwezi kumudu internet unlimited ya supakasi kwa 115,000 basi ondoa shaka kabisa kwamba star link itabaki kuwa ndoto daima.
Unawaza unafuu wa bei (afordability) ?
Dola $ 99 kila mwezi ? dola moja hio ni 2,300, zidisha upate majibu. hio bili utaweza kuimudu kila mwezi ?
Kufungiwa hio huduma hata tukionewa huruma tupo Africa haiwezi pungua chini ya milioni, utaweza ?
Faida ya starlink ni kwamba itapatikana miji na majiji karibu yote, vijiji karibu vyote, wilaya karibu zote, maporini, n.k tofauti na supakasi ambao katika kila mkoa ukiachana na Dar huwa wapo kwenye wilaya moja kuu tu. tena ni maeneo ya centre.