Wewe unaitwa Evelyn na ukamzaa mtoto ukamwita Evelyn, Mtoto kujitofautisha na Mama anaweza kuitwa Evelyn Jr,Kisandu jr Kisandu junior
Hizo Jr II, au Jr III, inamaanisha ni Jr wa pili au wa tatu katika ukoo wenu.Mimi napenda leo kuuliza sijui kabisa.
Wana JF huko Facebook naonaga watu wanajiita...Tz nawaelewa maana yao.
Lakini sasa je hawa wakina Jr ii, Jr iii, Jr, ndo wanamaanisha nini?
Ahsante wakuu JF
Hiyo ya mtu na mdogo wake Siielewi. Ila kwa kawaida kama baba mzazi anaitwa Juma Kilo na amezaa mtoto akiamua kumwita jina hilohilo, basi atakuwa Juma Kilo Jr.Ahsante lakin naona sasa mtu na mdogo wake ni majunior
fafanua basiWanamaanisha Junior. Pia ukiona Sr ujue ni senior.
Kwahiyo ili awe jr lazma awe uzao wangu???Wewe unaitwa Evelyn na ukamzaa mtoto ukamwita Evelyn, Mtoto kujitofautisha na Mama anaweza kuitwa Evelyn Jr,
Sema watu wanaharibu matumizi mara nyingi watu maarufu ili kujitofautisha, huku kwetu mtu anakurupuka na kujiita Obama Jr hata hana mahusiano na obama ni aibu
Ninga sikutegemea kuona commen ya aina hii kutoka kwako. Watu wengi wanauliza humu ili kuchota maarifa. Kama vipi mkuu si upite kimya? Usisheshe hadhi ya GT kiasi hicho mkuu, yapo majukwaa ya utani, hayo ndio yanastahili comments za aina hiyo.ni kikundi cha waganga na wachawi wa siri waliopo Jf ambao hutumia muda mwingi ktk shughuli za kuwanga na kuagua.
wanafanya mambo yao kwa siri sana ila wanae mwanachama wao mmoja ambae ni mpare.
huyu jamaa anaitwa jina mshana jr kama sikosi ye ni msaliti anaetoa siri zao.
"natania"