Linguistic
JF-Expert Member
- Mar 16, 2021
- 3,669
- 8,268
Baadhi ya Wachambuzi wa Mpira wa nchi Hii Wanafiki Sana.
So Kama Haikuwa Penalty Ww unabadilisha Nini?
Mbona yaliyotokea Mkwakwani Hawayazungumzii mpaka Leo Ile Wamekomaa kusema Ile penalty waliyoipata Yanga Haikuwa Penalty halali.
Ujinga Mtupu Kuwa na Mijitu inajiita Michambuzi Kumbe Minafiki Tu [emoji34][emoji34][emoji34]
So Kama Haikuwa Penalty Ww unabadilisha Nini?
Mbona yaliyotokea Mkwakwani Hawayazungumzii mpaka Leo Ile Wamekomaa kusema Ile penalty waliyoipata Yanga Haikuwa Penalty halali.
Ujinga Mtupu Kuwa na Mijitu inajiita Michambuzi Kumbe Minafiki Tu [emoji34][emoji34][emoji34]