Wanaojiita Wachambuzi wa soka Wengi wao ni wanafiki

Inashangaza hakuna mchambuzi alieongelea kile kitendo cha agrey kushika mpira kwenye boksi, mechi yetu na azam.
 
Achana nao mkuu. Mimi nimewachoka. Hasa yupo mchambuzi mmoja yuko Azam Tv,sijui alikuwa refa zamani,sijui alikuwa anachezesha timu za wanawake. Yule mchambuzi manyoya yule. Full upande wa mikia,haoni hata aibu,anajichoresha live
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…