Wanaojua Bei za kuwalipa ma tiktoker kukutangazia biashara yako watujuzešŸ™

Wanaojua Bei za kuwalipa ma tiktoker kukutangazia biashara yako watujuzešŸ™

Brave_Idiot

JF-Expert Member
Joined
Nov 18, 2023
Posts
209
Reaction score
368
Habarini wakuu!
Nina App yangu nahitaji kuitangaza hivyo wale ambao wameshatumia ma influencer wa tz, nilikua naomba mnisanue bei zao nijipange. sihitaji wabashiriji🤣. Naanza mimi kusanua "Mr Everything Tsh 170k, many Tech ppl Tsh 120K+........... Anaejua zakina kiredio, stivu, etc........ aweke wazišŸ™
 
Usijali watakuja
Si upost uzi kihusu hiyo app.
 
Unawapa litwenti tu la vocha kila unapotaka wakupostie mbona fresh tu.
 
Back
Top Bottom