naomba nijuzeni wana jf hivi mwisho was kupokea maombi ya uhamisho tamisemi ni tarehe ngapi? barua nimeituma tare he 16 mwezi wa 6 nilituma kwa EMS, na ukichelewa deadline yao wanafanyaje? mtumishi wa masijala ya RAS aliniambia nimechelewa na ndye alinishauri tutume kwa EMS. tafadhali mnaojua nitoeni wasiwasi uhamisho huu unaninyima usingizi. anayejua anifafaulie tafadhali