Raby Kilua Senior Member Joined Jul 12, 2013 Posts 128 Reaction score 23 Jul 14, 2013 #1 Wakuu nasikia bodi ina utaratbu wa kutoa majina ya watu waliokosea kujaza fomu za mkopo.. Wanaokosea mwisho wao ni nn? au ndo hawapat mkopo kabisa
Wakuu nasikia bodi ina utaratbu wa kutoa majina ya watu waliokosea kujaza fomu za mkopo.. Wanaokosea mwisho wao ni nn? au ndo hawapat mkopo kabisa
Darius JF-Expert Member Joined Jun 16, 2013 Posts 1,951 Reaction score 320 Jul 14, 2013 #2 wakitoa inabd kujaza upyaa! Vp yameshatokaaaa tujurishanee
Raby Kilua Senior Member Joined Jul 12, 2013 Posts 128 Reaction score 23 Jul 14, 2013 Thread starter #3 bdo hayajatoka.. duuh kuanza kujaza upya ni habar ndefu
Darius JF-Expert Member Joined Jun 16, 2013 Posts 1,951 Reaction score 320 Jul 14, 2013 #4 Raby Kaka said: bdo hayajatoka.. duuh kuanza kujaza upya ni habar ndefu Click to expand... mwenzangu we achaaa tuu! Naomba nisiwepo coz ni dalil ya kukosa mkopoo hyoooo hata kma ukiapply mara ya pili
Raby Kaka said: bdo hayajatoka.. duuh kuanza kujaza upya ni habar ndefu Click to expand... mwenzangu we achaaa tuu! Naomba nisiwepo coz ni dalil ya kukosa mkopoo hyoooo hata kma ukiapply mara ya pili