Wanaokuja kwa kasi....Rutashubanyuma, Dena Amsi...wanatisha..

dc hapa mbona hivi vipi tenaaa mbona mtoto analalamika sana umemfanya nini

hapo sasa nimekuelewa umeongea kiutu uzima nadhani ataelewa sasa

TF kulikoni wanionea wivu mtoto wa watu?

DA na TF,

Naomba msisahau..babu anawapenda sana wajukuu zake na wish yake ni kuwaona wana vitu 3 tu...vingine vitakuja baadaye,

FURAHA, AMANI na RAHA.....Kuna anayetamani kingine...Babu atawapatia ila hakuna zaidi ya hayo!
 
DA na TF,

Naomba msisahau..babu anawapenda sana wajukuu zake na wish yake ni kuwaona wana vitu 3 tu...vingine vitakuja baadaye,

FURAHA, AMANI na RAHA.....Kuna anayetamani kingine...Babu atawapatia ila hakuna zaidi ya hayo!

Haya bwana
 

MMU analysist....Ret. Maj Gen (47).....
 
Babuee...how am i fairing!??
Na je, wingi wa post ndo ubora wa mtu!?
 
Babuee...how am i fairing!??
Na je, wingi wa post ndo ubora wa mtu!?

Kwani ubora tunataka posts za kula?

Unaweza pia kutusaidia kuanalyse upande huo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…