Lycaon pictus
JF-Expert Member
- Jan 31, 2021
- 9,189
- 16,128
Pombe inafaida sana kwenye afya ya mtu. Lakini kama kitu kingine chochote, ukizidisha ina madhara sana. Sayansi iligundua zamani kwamba wanaokunywa pombe kiasi wana afya kuliko wasiokunywa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii siyo correlation. Pombe inafaida zinazofanya hilo litokee.Correlation is not causation
Unasema wanywaji wote mwishowe huwa walevi?Hata walevi walianza na kunywa kiasi!
Hadi unapata mahangover jua haunywi kiasi.Unaijua Hangover ya bongo don?
Na pia uliza ,na kwa hiyo walaji wote mwishowe huwa walafi ????Unasema wanywaji wote mwishowe huwa walevi?
Na walafi wote walianza kula kiasi !!Hata walevi walianza na kunywa kiasi!
Kwa sikuGlass moja ya wine kwa mwaka...
Glass moja ya wine kwa kila week…Glass moja ya wine kwa mwaka...