mimiamadiwenani
JF-Expert Member
- Mar 9, 2022
- 5,718
- 7,784
Jumatano njema!
Kuna ubaya kusema kila mtu anakula anakopeleka mboga? Wapo WaRC na Walokole wengi hukimbilia kwa waganga wa kienyeji na miilini wana chale za kutosha.
Wana hoja, miaka ya leo utapeli umekuwa mwingi. Mchungaji anafukuza muumini kwa uzinifu wakati mwenyewe anazini.
Watu wamedanganywa mno na wamechoka kudanganywa. Inaonekana wengi siku hizi wanaponea kwa waganga na si makanisani.
Injili ya kina Paulo iko wapi?
Wachungaji na manabii mjitathmini sana kwa yanayotokea kwa kondoo wenu. Hii siyo dalili nzuri.
Kuna ubaya kusema kila mtu anakula anakopeleka mboga? Wapo WaRC na Walokole wengi hukimbilia kwa waganga wa kienyeji na miilini wana chale za kutosha.
Wana hoja, miaka ya leo utapeli umekuwa mwingi. Mchungaji anafukuza muumini kwa uzinifu wakati mwenyewe anazini.
Watu wamedanganywa mno na wamechoka kudanganywa. Inaonekana wengi siku hizi wanaponea kwa waganga na si makanisani.
Injili ya kina Paulo iko wapi?
Wachungaji na manabii mjitathmini sana kwa yanayotokea kwa kondoo wenu. Hii siyo dalili nzuri.