IJIGHA NDIO HOME
JF-Expert Member
- Jul 13, 2019
- 760
- 823
Habari ndugu zangu kama kichwa kinavojieleza hivi nataka kujua mfano hii mitambo ya sola mfano mobisol, zola na mingne sasa kama umekopeshwa mtambo umeambiwa ulipe ndani ya miaka mitatu sasa usipomaliza wanaweza chukua mtambo wao?