Timu yetu ya vijana U 20 imerudi mikono mitupu kutoka Mauritania baada ya vipigo viwili na sare moja.
Kama kawaida wapenda soka waneiponda vibsya timu yetu. Ila wengi wamemlaumu kocha Julio na kuhitimisha kuwa Hana uwezo!
Kwa mpenda soka mkweli na mfuatiliaji lawama kwa Julio ni za ajabu.
Kumbuka tumefungwa na Ghana na Morocco ambazo zimewekeza mno mno kwenye soka. Unapoongelea soka la vijana nchini Ghana unaongelea kiwango Cha Dunia. Hivi unataka uwafunge Ghana kirahisi hivo kwa lipi.
Hivohivo Morocco wapo mbali mno! Sisi saizi yeti no Wale tuliotoka nao droo.
Watanzania tusipende njia ya mkato kwenye mafanikio.
Itakuwa ni kutomtendea haki Mungu na Waghana waliotumia akili ktk kuendeleza soka, ukiwafunga kirahisi. Kuna nyakati mafanikio hupita njia ya bahati, tuombe hilo litokee lakini ktk hali ya kawaida, bado Sana! Tusimbebeshe mzigo Julio!
Leo mafanikio ya Simba tunayo yaona hayajashuka Kama Mana kuna kitu kimefanyika!
Kwa wano mlaumu Julio eti kwa Nini tumefungwa na Ghana na Morocco, wote ni Utopolo wakubwa!
Kama kawaida wapenda soka waneiponda vibsya timu yetu. Ila wengi wamemlaumu kocha Julio na kuhitimisha kuwa Hana uwezo!
Kwa mpenda soka mkweli na mfuatiliaji lawama kwa Julio ni za ajabu.
Kumbuka tumefungwa na Ghana na Morocco ambazo zimewekeza mno mno kwenye soka. Unapoongelea soka la vijana nchini Ghana unaongelea kiwango Cha Dunia. Hivi unataka uwafunge Ghana kirahisi hivo kwa lipi.
Hivohivo Morocco wapo mbali mno! Sisi saizi yeti no Wale tuliotoka nao droo.
Watanzania tusipende njia ya mkato kwenye mafanikio.
Itakuwa ni kutomtendea haki Mungu na Waghana waliotumia akili ktk kuendeleza soka, ukiwafunga kirahisi. Kuna nyakati mafanikio hupita njia ya bahati, tuombe hilo litokee lakini ktk hali ya kawaida, bado Sana! Tusimbebeshe mzigo Julio!
Leo mafanikio ya Simba tunayo yaona hayajashuka Kama Mana kuna kitu kimefanyika!
Kwa wano mlaumu Julio eti kwa Nini tumefungwa na Ghana na Morocco, wote ni Utopolo wakubwa!