Wanaomtetea Wema Sepetu Naona Wamepungukiwa Akili

RGforever

JF-Expert Member
Joined
Apr 3, 2011
Posts
6,878
Reaction score
5,432
Watanzania Hao hao waliokuwa Wanawapost Kina Chid Benz...RayC..eti Jamii iwasaidie na Madawa Ya Kulevya Leo hao hao Wanamsupport Suspect wa Madawa ya Kulevya aliyetajwa na Makonda.... Watanzania kwa Unafiki Tunaongoza...

Wanaona Anaonewa Sana utadhani wanajua Hali za Mahabusu na Wafungwa Zipoje...

Acheni Dunia Imfundishe ....Si kisa Nyie ni Mashabiki zake Ndo mtete Watu acheni vyombo vya Usalama vifanye Kazi zake...
 
Nakuelewa mtoa mada..Watanzania ni watu wa ajabu sana..picha zilipokuwa zinasambaa za chid benz walilalamika kinoma..hatua imechukuliwa wanalalamika
 

Hata mie nawashangaaa watanzania wanamhukumu mtu utafikiri wao ndio mahakama hawana subira kabisa . Tungojeni mahakama itasema nini juu ya wote hawa . '' Innocent until proven guilty''
 

Ni lazima atetewe ni Kada wa Chama na ni Mkampeni wa Mkuu JPM Umesahau? Na aliponea chupu chupu awe mbunge wa viti maalum si unakumbuka. Mmmmh!! sasa usiseme tusimtetee ni Nembo ya chama ile. Chama kinafedheheka.
 
Usihukumu usije ukahukumiwa, lamsingi tusubiri uchunguzi. Tatizo watu wengi hufikiri kwa kiwango cha chini sana, hivi tukiachia mbali hoja ya hao wasanii, hivi wauza unga hawajulikani? Mateja wanapata wapi hizo dawa za kulevya?
 
Hao wakina wema syo wakujadikiwa kabisa ni wa kutoswa tu....kama wamejingiza ktk ujinga acha wanyoooshwe tu
Kama ni watumiajwatumiaji,wauzaji,au ndy wako karibu na wauzaji watajijua acha mammals husika ziwaadabishe

Ova
 
Afu kwann yy alipoguswa tu watetezi wamejitokeza?

Kwann sio wengine
 
Halafu yule zika Mange ndo anazidi palia makaa na hizo audio anazopost akizani inasaidia kitu
Mtu kakomaa nywele, kidevu mpaka ukucha....sijui anafikiri yeye ni nani Tanzania hii. Kila kitu anajua yeye
 
Halafu yule zika Mange ndo anazidi palia makaa na hizo audio anazopost akizani inasaidia kitu
Mtu kakomaa nywele, kidevu mpaka ukucha....sijui anafikiri yeye ni nani Tanzania hii. Kila kitu anajua yeye. Mzungu so bure amesepa
 
Mtu kakomaa nywele, kidevu mpaka ukucha....sijui anafikiri yeye ni nani Tanzania hii. Kila kitu anajua yeye
Na ana wajinga wenzie huko insta wanasapoti ujinga wake. Anazidi kumuharibia mwenzie tu.
 
Mwacheni TZ sweetheart.
Mange amesema tuandamane mpaka Central Police kumtetea roli model wetu.
Wamemwonea mrembo wetu mwenye Nyota yake ya jaha.
Makonda hamuwezi kipenzi chetuuu tunayempenda kuliko mioyo yetuuuu
Kwanza Wema kamtaja Masogange...kasaidia polisii
 

Kama wamesikiliza press ya Kamanda Siro na Makonda dakika kadhaa zilizopita washapata jawabu
 
Kuna Rafiki aliwahi kuniambia kwamba Binadamu wote kiasili ni wanafiki lakini unafiki unakiwango/madaraja,kiwango cha chini,cha Kati na kubwa!Japo hakuna prove kwa hili

Sasa naanza kutafakari kauli yake haswa kwa wa-Tanzania wenzangu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…