Bila bila JF-Expert Member Joined Dec 20, 2016 Posts 22,168 Reaction score 39,118 Feb 6, 2017 #41 kisikiji said: Ukijibiwa hilo mkuu usisahau kuniita niseme namimi japo neno. Click to expand... Hakuna atakayekujibu hili zaidi ya ushabiki maandazi wa kushabikia watu kupelekwa mahakamani kuombewa binding over.
kisikiji said: Ukijibiwa hilo mkuu usisahau kuniita niseme namimi japo neno. Click to expand... Hakuna atakayekujibu hili zaidi ya ushabiki maandazi wa kushabikia watu kupelekwa mahakamani kuombewa binding over.
Goldman JF-Expert Member Joined Dec 10, 2010 Posts 1,930 Reaction score 2,401 Feb 6, 2017 #42 Kukutwa na msokoto mmoja wa bangi! Kuvuta bangi unadhan anastahili kisa home kwake umekutwa msokoto mmoja wa bangi? Yaani kulala lock up siku 4 kisa msokoto mmoja wa bangi? Kumuharibia kisa msokoto mmoja wa bangi? Unajua watu wangapi wanavuta bangi?
Kukutwa na msokoto mmoja wa bangi! Kuvuta bangi unadhan anastahili kisa home kwake umekutwa msokoto mmoja wa bangi? Yaani kulala lock up siku 4 kisa msokoto mmoja wa bangi? Kumuharibia kisa msokoto mmoja wa bangi? Unajua watu wangapi wanavuta bangi?
yajutu JF-Expert Member Joined Sep 5, 2016 Posts 951 Reaction score 1,206 Feb 6, 2017 #43 Mimi naona watanzania wote hawapishani na tabia za wanawake tu