Wanaomtuhumu Mwabukusi wa TLS kulamba asali waelimishwe. Tumtie moyo maana hawezi fanya hivyo

Wanaomtuhumu Mwabukusi wa TLS kulamba asali waelimishwe. Tumtie moyo maana hawezi fanya hivyo

dmkali

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2014
Posts
11,793
Reaction score
22,552
Nawasihi sana ndugu zangu tusiwe wepesi wakunyooshea watu vidole!

Mwabukusi kafanya kazi kubwa sana inayostahili kupongezwa!

Huwezi kumpima mwabukusi kwa jambo moja!

Angekuwa mtu wa dili wangemalizana nae kipindi cha bandari!

Mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni!

Ifahamike kwamba mambo aliyoongea katika maadhimisho ya sheria mbele ya RAIS wa jamhuri hayakuwa maoni yake binafsi!

Pale alisimama kama Rais wa TLS kuisemea TLS, Pale alisimama kuwakilisha wanasheria na siyo wafuasi wa chama cha upinzani.

Pale alisimama kusemea mahitaji ya TLS kwa mujibu wa katiba ya TLS!
Watu wengi wanazani TLS ni kama chama cha upinzani!
Ndani ya TLS kuna watu wasio na chama, kuna wadau binafsi, kuna wanachama wa CCM, CUF,CHADEMA,NLD,TLP, CHAUMA,PPT MAENDELEO NA ACT

Wote hawa msemaji wao mkuu ni Rais wa TLS, hivyo siyo kila wakati ATAONGEA KAMA MWANAHARAKATI HAPANA!

Yapo mazingira ambayo Mwabukusi huwa anasimama kama RAIS wa TLS, yapo mazingira atasimama kama wakili, yapo mazingira atasimama kama Mzalendo mpigania Haki kwa mujibu wa sheria!

Maadhimisho ya sheria yalihitaji maombi kama alivyowathilisha! Na maoni yenu msiyafanye kuwa ni utaratibu wa TLS.

UPO MUDA WAKE na mahala pake ambako atasimama kama mwanaharakati ambapo atawasemea kina Dr. Slaa kesi zao kupigwa karenda!

Upo muda wake kusimama kuomba taarifa ya uchunguzi wa mzee Ally Kibao, upo muda wake wa kuomba tume huru ya uchaguzi, upo muda wake wa kusema maoni yenu yote!

Lakini kwa alichokisema jana alikuwa sahihi kwa wanachama waliomchagua huko TLS.

TUSIWE wepesi kumnyooshea kidole bali tumtie moyo huyu jamaa ni mzalendo wa kweli!

Mwabukusi ni Mwamba kwelikweli ambao wanazani anaweza kulamba asali Tuwaelimishe ili wasichanganye wakizani kuwa yule ni Mwenyekiti wa chama cha upinzani!

Pia soma > Wakili Mwabukusi aeleza kuwa Tanganyika Lawyers' Society (TLS) hawajalamba asali
 
Mwabukusi, Slaa na Lissu waliendesha kampeni Chafu sana dhidi ya Mbowe kuwa ni mpole mlamba asali na kashfa nyingine nyingi wakijisifu wao ni watu wa harakati… Mwabukusi aliingia TLS kwa ushabiki mkubwa sana akininadi yeye ni mwiba wa serikali kilichotokea Leo wale mashabiki hawatamani hata kusikia jina lake!!

Nchi una ushabiki wa Kipumbavu sana na kundi kubwa la vijana wamekua na thinking ya kipumbavu mno…. Hata Lissu atairudisha CHADEMA hatua 1000 ilipo Leo!!
 
Mwabukusi, Slaa na Lissu waliendesha kampeni Chafu sana dhidi ya Mbowe kuwa ni mpole mlamba asali na kashfa nyingine nyingi wakijisifu wao ni watu wa harakati… Mwabukusi aliingia TLS kwa ushabiki mkubwa sana akininadi yeye ni mwiba wa serikali kilichotokea Leo wale mashabiki hawatamani hata kusikia jina lake!!

Nchi una ushabiki wa Kipumbavu sana na kundi kubwa la vijana wamekua na thinking ya kipumbavu mno…. Hata Lissu atairudisha CDM hatua 1000 ilipo Leo!!
Hizi ni propaganda za CCM kumlegeza kwa kupenyeza TUHUMA ZA KUMKATISHA TAMAA! shituka mapema ndugu.
Wanataka kumpoteza maboya ili ajae
 
Nawasihi sana ndugu zangu tusiwe wepesi wakunyooshea watu vidole!

Mwabukusi kafanya kazi kubwa sana inayostahili kupongezwa!

Huwezi kumpima mwabukusi kwa jambo moja!

Angekuwa mtu wa dili wangemalizana nae kipindi cha bandari!

Mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni!

Ifahamike kwamba mambo aliyoongea katika maadhimisho ya sheria mbele ya RAIS wa jamhuri hayakuwa maoni yake binafsi!
Pale alisimama kama Rais wa TLS kuisemea TLS, Pale alisimama kuwakilisha wanasheria na siyo wafuasi wa chama cha upinzani.

Pale alisimama kusemea mahitaji ya TLS kwa mujibu wa katiba ya TLS!
Watu wengi wanazani TLS ni kama chama cha upinzani!
Ndani ya TLS kuna watu wasio na chama, kuna wadau binafsi, kuna wanachama wa CCM, CUF,CHADEMA,NLD,TLP, CHAUMA,PPT MAENDELEO NA ACT

Wote hawa msemaji wao mkuu ni Rais wa TLS, hivyo siyo kila wakati ATAONGEA KAMA MWANAHARAKATI HAPANA!

Yapo mazingira ambayo Mwabukusi huwa anasimama kama RAIS wa TLS, yapo mazingira atasimama kama wakili, yapo mazingira atasimama kama Mzalendo mpigania Haki kwa mujibu wa sheria!

Maadhimisho ya sheria yalihitaji maombi kama alivyowathilisha! Na maoni yenu msiyafanye kuwa ni utaratibu wa TLS,
UPO MUDA WAKE na mahala pake ambako atasimama kama mwanaharakati ambapo atawasemea kina Dr. Slaa kesi zao kupigwa karenda!

Upo muda wake kusimama kuomba taarifa ya uchunguzi wa mzee Ally Kibao, upo muda wake wa kuomba tume huru ya uchaguzi, upo muda wake wa kusema maoni yenu yote!

Lakini kwa alichokisema jana alikuwa sahihi kwa wanachama waliomchagua huko TLS.

TUSIWE wepesi kumnyooshea kidole bali tumtie moyo huyu jamaa ni mzalendo wa kweli!

Mwabukusi ni Mwamba kwelikweli ambao wanazani anaweza kulamba asali Tuwaelimishe ili wasichanganye wakizani kuwa yule ni Mwenyekiti wa chama cha upinzani!
Umelamba asali acha kujitetea bwana mwabukusi
 
Hizi ni propaganda za CCM kumlegeza kwa kupenyeza TUHUMA ZA KUMKATISHA TAMAA! shituka mapema ndugu.
Wanataka kumpoteza maboya ili ajae
Mwabukusi kapoteza relevance kitambo sana!! Mnapaswa kujifunza kuwa watu waropokaji na wenye kelele nyingi huwa hawana substance!!

Bahati mbaya sana watanzania ni watu wa kupima sana ukubwa wa kelele kuliko substance!!
 
Mwabukusi kapoteza relevance kitambo sana!! Mnapaswa kujifunza kuwa watu waropokaji na wenye kelele nyingi huwa hawana substance!!

Bahati mbaya sana watanzania ni watu wa kupima sana ukubwa wa kelele kuliko substance!!
Kivipi ebu tuambie wapi kakosea! Tatizo machanganya majira
 
Nawasihi sana ndugu zangu tusiwe wepesi wakunyooshea watu vidole!

Mwabukusi kafanya kazi kubwa sana inayostahili kupongezwa!

Huwezi kumpima mwabukusi kwa jambo moja!

Angekuwa mtu wa dili wangemalizana nae kipindi cha bandari!

Mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni!

Ifahamike kwamba mambo aliyoongea katika maadhimisho ya sheria mbele ya RAIS wa jamhuri hayakuwa maoni yake binafsi!
Pale alisimama kama Rais wa TLS kuisemea TLS, Pale alisimama kuwakilisha wanasheria na siyo wafuasi wa chama cha upinzani.

Pale alisimama kusemea mahitaji ya TLS kwa mujibu wa katiba ya TLS!
Watu wengi wanazani TLS ni kama chama cha upinzani!
Ndani ya TLS kuna watu wasio na chama, kuna wadau binafsi, kuna wanachama wa CCM, CUF,CHADEMA,NLD,TLP, CHAUMA,PPT MAENDELEO NA ACT

Wote hawa msemaji wao mkuu ni Rais wa TLS, hivyo siyo kila wakati ATAONGEA KAMA MWANAHARAKATI HAPANA!

Yapo mazingira ambayo Mwabukusi huwa anasimama kama RAIS wa TLS, yapo mazingira atasimama kama wakili, yapo mazingira atasimama kama Mzalendo mpigania Haki kwa mujibu wa sheria!

Maadhimisho ya sheria yalihitaji maombi kama alivyowathilisha! Na maoni yenu msiyafanye kuwa ni utaratibu wa TLS,
UPO MUDA WAKE na mahala pake ambako atasimama kama mwanaharakati ambapo atawasemea kina Dr. Slaa kesi zao kupigwa karenda!

Upo muda wake kusimama kuomba taarifa ya uchunguzi wa mzee Ally Kibao, upo muda wake wa kuomba tume huru ya uchaguzi, upo muda wake wa kusema maoni yenu yote!

Lakini kwa alichokisema jana alikuwa sahihi kwa wanachama waliomchagua huko TLS.

TUSIWE wepesi kumnyooshea kidole bali tumtie moyo huyu jamaa ni mzalendo wa kweli!

Mwabukusi ni Mwamba kwelikweli ambao wanazani anaweza kulamba asali Tuwaelimishe ili wasichanganye wakizani kuwa yule ni Mwenyekiti wa chama cha upinzani!
BAK sio cheap kiasi cha kulambishwa asali. BAK is a true hero of this country Tanganyika
 
Asali haina mwanaharakati,huwa wanaanza hivihivi.

BTW:Balile yupo wapi kwa sasa?
 
Asali haina mwanaharakati,huwa wanaanza hivihivi.

BTW:Balile yupo wapi kwa sasa?
Ile tone ya Mwambukusi Jana nilimshangaa sana…. Ni yeye na genge lake walioongoza kuikosoa tone ya Mbowe kwa Samia!! Hawa watu ni wapumbavu mno
 
Back
Top Bottom