Wanaonumia simu Marekani, China wanatumia mtandao gani?

azzle18

Member
Joined
Jan 12, 2019
Posts
8
Reaction score
2
Naomba kuuliza, wale jamaa wananunuaga simu used kutoka Marekani au China mara nyingi huwa ni Nokia, Sony, LG, Samsung huwa wanatumia mtandao gani?

Kwa anayejua naomba anisaidie jina la hiyo website.

Asante.
 
Hizi hizi line zetu, Cha muhimu ni kuziflash hasa kubadili properties za simcard
 
Naomba kuuliza, wale jamaa wananunuaga simu used kutoka Marekani au China mara nyingi huwa ni Nokia, Sony, LG, Samsung huwa wanatumia mtandao gani?

Kwa anayejua naomba anisaidie jina la hiyo website.

Asante.
KIKUU naona watu wanaitumia ila sijui kama ipo kwenye kundi la website au APPS. ngojea wengine wajibu ili upate taarifa zaidi
 
Hizi hizi line zetu, Cha muhimu ni kuziflash hasa kubadili properties za simcard

Umekurupuka. Soma vizuri uzi wa mdau.
Anaulizia issues za Aliexpress, Amazon, EBay, Kikuu, Joomla nakadhalika.
Acha ushamba.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…