Wanaonzisha biashara pasipo kuwa na taarifa kamili kuhusu biashara husika ndio maana wanafeli

Wanaonzisha biashara pasipo kuwa na taarifa kamili kuhusu biashara husika ndio maana wanafeli

TheForgotten Genious

JF-Expert Member
Joined
Jan 18, 2014
Posts
2,087
Reaction score
3,156
Watu wengi wanaanzisha biashara pasipo kuwa na taarifa kamili kuhusu biashara husika, soko, ushindani,na malengo thabiti ya kuanzisha biashara hiyo.

Wengi hawafanyi uoembuzi wanaamua kufanya kwa sababu wameona fulani anafanya na anauza,naye anaamua kuanza biashara ileile mbaya zaidi eneo la jirani na biashara aliyoioana bila kujiuliza kwa nini anauza?

Wengi hudhania kwamba wataanza na kufanya mauzo makubwa kitu kinachopelekea kukwama ktk kipindi cha jua la utosi.

Biashara ni Elimu,mbinu,utafiti,upembuzi,uvumilivu na maarifa,biashara huchukua miaka 5-10 (kwa kuzingatia ukubwa) ili iwe matured.

Ndio maana wengi hufungua biashara baada ya muda mfupi hushitukia wamefunga
 
Watu wengi wanaanzisha biashara pasipo kuwa na taarifa kamili kuhusu biashara husika, soko, ushindani,na malengo thabiti ya kuanzisha biashara hiyo.

Wengi hawafanyi uoembuzi wanaamua kufanya kwa sababu wameona fulani anafanya na anauza,naye anaamua kuanza biashara ileile mbaya zaidi eneo la jirani na biashara aliyoioana bila kujiuliza kwa nini anauza?

Wengi hudhania kwamba wataanza na kufanya mauzo makubwa kitu kinachopelekea kukwama ktk kipindi cha jua la utosi.

Biashara ni Elimu,mbinu,utafiti,upembuzi,uvumilivu na maarifa,biashara huchukua miaka 5-10 (kwa kuzingatia ukubwa) ili iwe matured.

Ndio maana wengi hufungua biashara baada ya muda mfupi hushitukia wamefunga
Ukiwa na mpango wako wa biashara, (andiko la biashara), lakini huna sifa hata moja ya ujasiriamali huwezi kufanya biashara yoyote ile, (personal entrepreneurial competences), well defined as traits

Andiko la biashara hutokana na utafiti wa wazo lako la biashara na ushindani uliopo pamoja na wateja, (competitive analysis), wateja waliopo na wateja tarajiwa, aina ya washindani wako nguvu zao na mapungufu yao ukijilinganisha nao
 
Ukiwa na mpango wako wa biashara, (andiko la biashara), lakini huna sifa hata moja ya ujasiriamali huwezi kufanya biashara yoyote ile, (personal entrepreneurial competences), well defined as traits

Andiko la biashara hutokana na utafiti wa wazo lako la biashara na ushindani uliopo pamoja na wateja, (competitive analysis), wateja waliopo na wateja tarajiwa, aina ya washindani wako nguvu zao na mapungufu yao ukijilinganisha nao
Wengi hawana hiyo,hufanya kwa kutamani ama kwa sababu anamtaji
 
Point zote zilizotajwa ndio zilizosababisha wasomi wengi kutokuwa na biashara 😆 😄,
Analysis, competitors, failure factor, research, soko, share holders na ujinga mwingine wa kufanana na huo.

The best teacher who will teach you the game is Mr game full stop. Endeleeni na research and nyokonyoko mtabak hapo hapo, Excute and go on mazuri yapo mbele.
 
Point zote zilizotajwa ndio zilizosababisha wasomi wengi kutokuwa na biashara 😆 😄,
Analysis, competitors, failure factor, research, soko, share holders na ujinga mwingine wa kufanana na huo.

The best teacher who will teach you the game is Mr game full stop. Endeleeni na research and nyokonyoko mtabak hapo hapo, Excute and go on mazuri yapo mbele.
I did researches,I own three different business and i don’t just own business but I DO
 
Point zote zilizotajwa ndio zilizosababisha wasomi wengi kutokuwa na biashara 😆 😄,
Analysis, competitors, failure factor, research, soko, share holders na ujinga mwingine wa kufanana na huo.

The best teacher who will teach you the game is Mr game full stop. Endeleeni na research and nyokonyoko mtabak hapo hapo, Excute and go on mazuri yapo mbele.
Naendana na wewe.
Kifupi nina Diploma, Degree na Masters ya Economics, Finance, and Invenstment.

Nikiwa chuoni miaka yote 2 +3 + 2 nilifundishwa vitu vingii vya biashara ila SIJAWAHI KUKITUMIA HATA KIMOJA.

Nina biashara tatu ila biashara mbili nililetewa idea na masela wa darasa la saba baada ya kuona nasonga na biashara ya kwanza.

Ukitumia sanaa shule UNAFELI.

Field yenyewe ndio itakupa SWOT, PASTEL, BUSINESS PLAN na kila kitu kiufasaha.

Yaani wewe ingia kwenye game halafu kila kitu utajifunzia humo.

#YNWA
#YANGA_BINGWA
 
Naendana na wewe.
Kifupi nina Diploma, Degree na Masters ya Economics, Finance, and Invenstment.

Nikiwa chuoni miaka yote 2 +3 + 2 nilifundishwa vitu vingii vya biashara ila SIJAWAHI KUKITUMIA HATA KIMOJA.

Nina biashara tatu ila biashara mbili nililetewa idea na masela wa darasa la saba baada ya kuona nasonga na biashara ya kwanza.

Ukitumia sanaa shule UNAFELI.

Field yenyewe ndio itakupa SWOT, PASTEL, BUSINESS PLAN na kila kitu kiufasaha.

Yaani wewe ingia kwenye game halafu kila kitu utajifunzia humo.

#YNWA
#YANGA_BINGWA
Tatizo moja la wasomi wa kiafrika wengi wao hawajui kwanini walisoma hicho walicho soma,pili wengi wao husoma kwa sababu moja kuu ambayo ni Ajira tegemezi,game ni muhimu kuifahamu lakini Elimu ni muhimu zaidi ktk kuhimili na kumiliki game husika kwa possession sahihi.

Nimesoma Financial Analysis,Project Management na corporate business strategies pia vina msaada mkubwa kwangu.

Ninashukuru nina upeo wa kuona fursa ndani ya muda mfupi na kuimodefy ila elimu husika inamchango mkubwa.

TAALUMA SI KITU,BALI ELIMU,WENGI TUNA TAALUMA LAKINI HATUNA ELIMU.
 
Nakubaliana na mtoa maada. Biashara inahitaji ubunifu Ili biashara iweze kudumu na kuleta manufaa na uvumilivu katika kukabiliana na changamoto za kupata na kuto pata katika mzunguko wa biashara.
 
Back
Top Bottom