Wanaopaswa kumjibu Jaji Warioba ni Chadema siyo CCM. Jaji amesema Hatua zisipochukuliwa sasa "Uchaguzi wa 2025 utakuwa kama wa 2024"

Wanaopaswa kumjibu Jaji Warioba ni Chadema siyo CCM. Jaji amesema Hatua zisipochukuliwa sasa "Uchaguzi wa 2025 utakuwa kama wa 2024"

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Kama umemsikiliza vizuri Jaji Warioba utagundua hakuna sehemu yoyote amewatuhumu CCM kwa jambo lolote.

Hoja za Jaji Warioba zimelenga Serikali na Upinzani ambako Chadema ndio Chama kikuu.

Kuna sehemu Warioba anasema kabisa "Wanaowaingiza polisi kwenye Siasa ni Serikali siyo CCM"

Hivyo kwa muktadha wa maudhui ya Hoja za Warioba CCM iko salama kabisa.

Maelezo yote ya Mzee Warioba yamebebwa na hitimisho lake "Tusipochukua hatua sasa Uchaguzi wa 2025 utakuwa kama huu wa 2024"

Hapo utaona CCM hawana hatua zozote za kuchukua kwa sababu wameshinda kwa kishindo.

Serikali na Upinzani ndio Wana hatua za kuchukua kuelekea 2025 kama Mapungufu yaliyo Wazi yanavyojionyesha.

Kama utafiti wa Wapinzani ulionyesha watapata 25% hapo ndipo Chadema Kwa niaba ya Upinzani wote wanaweza kuanzisha Mjadala na Jaji Warioba wa "Nini kifamyike"

Serikali yenyewe inaweza kumjibu Jaji Warioba kuhusiana na ile "Engua Engua ya Wagombea wa Upinzani pekee".

Akina Lucas Mwashambwa Nyie punguzeni kihelehele Jaji hajawagusa 😀😀
 
Wanaopaswa kumjibu ni Watanzania wote. Inabidi wadai katiba mpya, tume huru kwa nguvu zote.

Uchaguzi usogweze mbele hadi tupate tume huru, katiba mpya. Kusie tena na maigizo, tuache kutekana, kùuana kwenye chaguzi. Turuhusu mtu mwenye sera nzuri, mawazo mazuri kuisadia jamìi husika ashinde.
 
Wanaopaswa kumjibu ni Watanzania wote. Inabidi wadai katiba mpya, tume huru kwa nguvu zote.

Uchaguzi usogweze mbele hadi tupate tume huru, katiba mpya. Kusie tena na maigizo, tuache kutekana, kùuana kwenye chaguzi. Turuhusu mtu mwenye sera nzuri, mawazo mazuri kuisadia jamìi husika ashinde.
TATIZO UPINZANI SERA HAWANA WANAKALIA KUPIGA VIJEMBE TU TANGAZENI SERA MUELEWEKE
 
Kwa Nchi kama Tanzania ni vigumu sana kutofautisha CCM na Serikali au basi Polisi na CCM na Idara za Utumishi wa umma zote maana unaweza kuona ugumu huo kwa kukosa namna ya check and balance kati ya CCM na Serikali!!! Nini kifanyike???

1. Rais anaechaguliwa asiwe pia Mkiti wa Chama hicho hicho maana anakua na Mamlaka kote kote huo ni Uoga tu ambao unasababisha na watu kulinda nyadhifa zao ili wasipingwe au hata Kuhojiwa kwa makosa wanayofanya!! ikiwa mtu huyo ndio Rais anateua Mawaziri , Wakuu wa Mashirika,`ya UMMA na watu woote ambao wana maamuzi katika uendeshaji wa Serikali...Watu hawa hawafanyiwi Vetting wakiteuliwa basi wanapitishwa jumla jumla ndio hivyo unadhani watampinga Boss wao?? ndio kusema iko haja Nafasi kadhaa ziombwe mtu afanyiwe interview kwa sifa sio kuteuliwa mtoto wa shangazi sio mjomba nk. mfano Wakuu wa Mashirika ya Umma waombe, Ma-DED waombe kazi.Hapa simlaumu Samia maana hata yeye ameyakuta hayo mauozo.

2. Wakuu wa Wilaya na Mikoa wafutwe nafasi zile hazina maana tubakie na GAVANA mtu anaegombea ashinde Ugavana awe na majukumu yake ya kutekeleza na awe na uwezo wa kuondolewa kwa kura na wananchi ikiwa hafanyi kazi vizuri. Hii itaondoa uchawa kwenye kila ngazi na watu kufanya unafiki kutetea nafasi zao.Mtu ajue nikikosea uchaguzi ujao napigwa au natolewa na wananchi kwa kura ya kutokua na imani.

3. Kuwepo na mpaka wa Vyombo vya dola na Siasa huku nadhani tunaelekea kubaya sana zaidi tutakaa na watu wamejaa chuki ambao ni watanzania wenzetu kisa tu uchaguzi hivi kuna haja gani mkiti wa Serikali ya Mtaa kuleta ugomvi?? hii akili ya hovyo ya kishenzi yaani mtaa unaamua wenyewe flani ndio atakua kiongozi hapa atuongoze hilo nalo Polisi wanaingilia kutaka nini??? kuna shida gani huko polisi?? alieshinda aachwe ni Mtanzania aongoze wewe nae jipange next time gombea....Tunajua uozo uliopo huko Serikali za mtaa maeneo yote ya Wazi kwenye miji mikubwa yameuzwa na hao wenyeviti wa serikali za mitaa ni majanga makubwa sasa mtu akitaka abadilishe kiongozi hilo nalo ni shida hii ni aibu kubwa!!

4. Vyama vya Upinzani vifanye kazi yao ya Oversight, hivi leo mtu kama Mbowe ni kweli kafanya kazi sana kwenye siasa za nchi hii ila anatakiwa sasa apishe kabla hajakiua kile chama chao maana kinakoelekea Lissu akiamua kugombea yatakua kama yale ya LIPUMBA na Seifa na hatimae CUF ambayo ilikua na nguvu ikafa ni mhimu tuwe na Vibrant Democracy inayoweza kutusaidia kucheck na kubalance ili nchi isonge mbele ndio lengo..kwasasa Mbowe anatuhuma nyingi sana za kimaadili anatumia machawa wake kumhami ila hao machawa hawana uwezo kubadili uhalisia .

Uchaguzi isiwe biashara ya kuuza na kuchuuza tufanye vetting watu ambao hatimae hata Rais anateua kuwa Mawaziri !!
 
Kwa Nchi kama Tanzania ni vigumu sana kutofautisha CCM na Serikali au basi Polisi na CCM na Idara za Utumishi wa umma zote maana unaweza kuona ugumu huo kwa kukosa namna ya check and balance kati ya CCM na Serikali!!! Nini kifanyike???

1. Rais anaechaguliwa asiwe pia Mkiti wa Chama hicho hicho maana anakua na Mamlaka kote kote huo ni Uoga tu ambao unasababisha na watu kulinda nyadhifa zao ili wasipingwe au hata Kuhojiwa kwa makosa wanayofanya!! ikiwa mtu huyo ndio Rais anateua Mawaziri , Wakuu wa Mashirika,`ya UMMA na watu woote ambao wana maamuzi katika uendeshaji wa Serikali...Watu hawa hawafanyiwi Vetting wakiteuliwa basi wanapitishwa jumla jumla ndio hivyo unadhani watampinga Boss wao?? ndio kusema iko haja Nafasi kadhaa ziombwe mtu afanyiwe interview kwa sifa sio kuteuliwa mtoto wa shangazi sio mjomba nk. mfano Wakuu wa Mashirika ya Umma waombe, Ma-DED waombe kazi.Hapa simlaumu Samia maana hata yeye ameyakuta hayo mauozo.

2. Wakuu wa Wilaya na Mikoa wafutwe nafasi zile hazina maana tubakie na GAVANA mtu anaegombea ashinde Ugavana awe na majukumu yake ya kutekeleza na awe na uwezo wa kuondolewa kwa kura na wananchi ikiwa hafanyi kazi vizuri. Hii itaondoa uchawa kwenye kila ngazi na watu kufanya unafiki kutetea nafasi zao.Mtu ajue nikikosea uchaguzi ujao napigwa au natolewa na wananchi kwa kura ya kutokua na imani.

3. Kuwepo na mpaka wa Vyombo vya dola na Siasa huku nadhani tunaelekea kubaya sana zaidi tutakaa na watu wamejaa chuki ambao ni watanzania wenzetu kisa tu uchaguzi hivi kuna haja gani mkiti wa Serikali ya Mtaa kuleta ugomvi?? hii akili ya hovyo ya kishenzi yaani mtaa unaamua wenyewe flani ndio atakua kiongozi hapa atuongoze hilo nalo Polisi wanaingilia kutaka nini??? kuna shida gani huko polisi?? alieshinda aachwe ni Mtanzania aongoze wewe nae jipange next time gombea....Tunajua uozo uliopo huko Serikali za mtaa maeneo yote ya Wazi kwenye miji mikubwa yameuzwa na hao wenyeviti wa serikali za mitaa ni majanga makubwa sasa mtu akitaka abadilishe kiongozi hilo nalo ni shida hii ni aibu kubwa!!

4. Vyama vya Upinzani vifanye kazi yao ya Oversight, hivi leo mtu kama Mbowe ni kweli kafanya kazi sana kwenye siasa za nchi hii ila anatakiwa sasa apishe kabla hajakiua kile chama chao maana kinakoelekea Lissu akiamua kugombea yatakua kama yale ya LIPUMBA na Seifa na hatimae CUF ambayo ilikua na nguvu ikafa ni mhimu tuwe na Vibrant Democracy inayoweza kutusaidia kucheck na kubalance ili nchi isonge mbele ndio lengo..kwasasa Mbowe anatuhuma nyingi sana za kimaadili anatumia machawa wake kumhami ila hao machawa hawana uwezo kubadili uhalisia .

Uchaguzi isiwe biashara ya kuuza na kuchuuza tufanye vetting watu ambao hatimae hata Rais anateua kuwa Mawaziri !!
chadema wakikuelewa vizuri unitag
 
TATIZO UPINZANI SERA HAWANA WANAKALIA KUPIGA VIJEMBE TU TANGAZENI SERA MUELEWEKE
Ni ukweli upinzani wa Chadema, CUF, act,,TLP haueleweki. Mbowe, Zitto ni CCM wanahakikisha wanapata mkate. Angalia walivyo kuwa wanapinga awamu ya kila kitu bajeti, report za CAG, chaguzi,, sasa hivi Wamere- relax kabisa.

Ila Watanzania karibu wote hawakubaliani na huu uhuni wa CCM. Ikibidi kuanzisha chama kipya, kitaanzishwa chama kipya.
 
Kama umemsikiliza vizuri Jaji Warioba utagundua hakuna sehemu yoyote amewatuhumu CCM kwa jambo lolote.

Hoja za Jaji Warioba zimelenga Serikali na Upinzani ambako Chadema ndio Chama kikuu.

Kuna sehemu Warioba anasema kabisa "Wanaowaingiza polisi kwenye Siasa ni Serikali siyo CCM"

Hivyo kwa muktadha wa maudhui ya Hoja za Warioba CCM iko salama kabisa.

Maelezo yote ya Mzee Warioba yamebebwa na hitimisho lake "Tusipochukua hatua sasa Uchaguzi wa 2025 utakuwa kama huu wa 2024"

Hapo utaona CCM hawana hatua zozote za kuchukua kwa sababu wameshinda kwa kishindo.

Serikali na Upinzani ndio Wana hatua za kuchukua kuelekea 2025 kama Mapungufu yaliyo Wazi yanavyojionyesha.

Kama utafiti wa Wapinzani ulionyesha watapata 25% hapo ndipo Chadema Kwa niaba ya Upinzani wote wanaweza kuanzisha Mjadala na Jaji Warioba wa "Nini kifamyike"

Serikali yenyewe inaweza kumjibu Jaji Warioba kuhusiana na ile "Engua Engua ya Wagombea wa Upinzani pekee".

Akina Lucas Mwashambwa Nyie punguzeni kihelehele Jaji hajawagusa 😀😀
Warioba ametumia akili kubwa sana kutoa hoja yake! Anayetakiwa kujibu ni Samia na serikali yake!
 
Kama umemsikiliza vizuri Jaji Warioba utagundua hakuna sehemu yoyote amewatuhumu CCM kwa jambo lolote.

Hoja za Jaji Warioba zimelenga Serikali na Upinzani ambako Chadema ndio Chama kikuu.

Kuna sehemu Warioba anasema kabisa "Wanaowaingiza polisi kwenye Siasa ni Serikali siyo CCM"

Hivyo kwa muktadha wa maudhui ya Hoja za Warioba CCM iko salama kabisa.



Serikali yenyewe inaweza kumjibu Jaji Warioba kuhusiana na ile "Engua Engua ya Wagombea wa Upinzani pekee".

Akina Lucas Mwashambwa Nyie punguzeni kihelehele Jaji hajawagusa 😀😀
Kwani serikali inatekeleza sera za chama gani? Na serikali kuliingiza jeshi la polisi ni kwa manufaa ya CCM, yote kwa yote lawama zote ni kwa CCM inayoongoza serikali.
 
Back
Top Bottom