Huwa wanaiba mtihan na ndo maana wakifka juu wanachemka vbaya..... hovyo kweli
hasa hawa wa shule za ST.
wakiingia vyuoni hushindwa hata div 111 za shule za kata.
pale UDSM tulisoma na dada mmoja, huyu ndie kati ya wanafunzi 10 bora mtihani wa kidato cah nne.
lkn alipokuha pale alikuwa ni moja ya wanafunzi wabovu
hasa hawa wa shule za ST.
wakiingia vyuoni hushindwa hata div 111 za shule za kata.
pale UDSM tulisoma na dada mmoja, huyu ndie kati ya wanafunzi 10 bora mtihani wa kidato cah nne.
lkn alipokuha pale alikuwa ni moja ya wanafunzi wabovu
@Kunguru Mweusihasa hawa wa shule za ST.
wakiingia vyuoni hushindwa hata div 111 za shule za kata.
pale UDSM tulisoma na dada mmoja, huyu ndie kati ya wanafunzi 10 bora mtihani wa kidato cah nne.
lkn alipokuha pale alikuwa ni moja ya wanafunzi wabovu
Shukuruni Mungu hawa wanaotoka shule hizo kidogo wanaokoa lile tatizo la kitaifa. Nimesikia wahitimu wengi na wanafunzi wa UDSM hawana uwezo wa kuzungumza lugha ya malikia kwa ufasaha
Shukuruni Mungu hawa wanaotoka shule hizo kidogo wanaokoa lile tatizo la kitaifa. Nimesikia wahitimu wengi na wanafunzi wa UDSM hawana uwezo wa kuzungumza lugha ya malikia kwa ufasaha
hasa hawa wa shule za ST.
wakiingia vyuoni hushindwa hata div 111 za shule za kata.
pale UDSM tulisoma na dada mmoja, huyu ndie kati ya wanafunzi 10 bora mtihani wa kidato cah nne.
lkn alipokuha pale alikuwa ni moja ya wanafunzi wabovu
Uko sahihi mkuu. Kuna jamaa yangu huku chini alikuwa kipanga wa kutisha. Form four alitengeneza pt7, six akaweka pt4. Huyu jamaa alizoea kujisomea mavitabu. Kule chuo akaona atumie utaratibu huo huo. Kumbe wenzake wanakesha wakikariri madesa. Jamaa aliliwa kichwa mwaka wa pili baada ya kukoswa koswa mwaka wa kwanza.Elimu ya chuo ni ya kukariri tu, mi mwenyewe ilinitesa sana japo masomo yaliyonipatia nafasi nilipata A na B,
kiukweli wale vilaza wanaokesha wakimeza hutoka!
mpaka sasa sipendi kabisa sytem ya usomaji wa vyuo vikuu,
tumekuelewa mkuu,ngoja tuwasisitize vijana wapate div3,ili wawe wakali vyuoni!