#COVID19 Wanaopinga chanjo ya Corona watafute pa kwenda

#COVID19 Wanaopinga chanjo ya Corona watafute pa kwenda

bernard10

JF-Expert Member
Joined
Apr 2, 2021
Posts
410
Reaction score
732
Dr Anthony Fauci moja Kati ya madaktari na wanasayansi wakubwa katika nchi ya Marekani pia mshauri mkuu wa Raisi katika masuala ya Afya na bingwa wa magonjwa ya kuambukiza(infectious diseases) na director wa taasisi ya magonjwa ya kuambukiza na (allergy) marekani katika mahojiano yake na NBC moja ya vituo vikubwa vyahabari nchini hapo alisema "watu ambao hawajachanjwa wanatakiwa kufikiria jamii yao kwasababu wao ndyo wanaruhusu kusambaa na kubadilika badilika kwa kirusi wa uviko19 (yaani virus mutation)hivyo kinaweza kusababisha kutokea kwa form mpya ya kirusi(new variant) hatari zaidi ya Delta variant ambaye ndicho hatari
zaidi kwasasa".
Screenshot_20210810-132751.jpg
Screenshot_20210810-132712~2.jpg
Screenshot_20210810-132751~2.jpg
 
Anthony Fauci alishawahi kusema in the 1980's kwamba kukaa karibu na shoga kunaweza kukakupa HIV,,,, huyo huyo akasema mwezi wa pili mwaka Jana kwamba maski hazihitajiki, mwezi wa kumi mwaka Jana akaendelea kusema ukijaamiana na mkeo uvae mask.....

Vilevile kupitia taasisi yake anayoisimamia NIH ndo waliokua donors wakubwa kwenye hiyo Wuhan Lab (wuhan institute of virology) kirusi kinaposemekana kilipotokea specifically Gain of function research

Hyo ndo credibility yake...
 
Naona unamlisha maneno Dr. Fauci, sijaona mahali pameandikwa wanaopinga chanjo watafute pa kwenda.......au hii ng'eng'e imeanza kunitoa knock out....
 
Naona unamlisha maneno Dr. Fauci, sijaona mahali pameandikwa wanaopinga chanjo watafute pa kwenda.......au hii ng'eng'e imeanza kunitoa knock out....
Bongo kunavipaji vingi.
 
Huyo daktari fekikasema maneno hata kwenye kanga yapo. Uwe na amani ila ukiogopa wewe usitishe na wengine.
Daktari feki wanampaje nyadhifa kubwa Kama hzo alizonazo Kama ni hivyo basi nchi zima system yao nzima Ni feki
 
Naona unamlisha maneno Dr. Fauci, sijaona mahali pameandikwa wanaopinga chanjo watafute pa kwenda.......au hii ng'eng'e imeanza kunitoa knock out....
Wafikirie kuwa na jamii yao Kama hapa kwetu tulivyoambiwa twende burundi
 
Wafikirie kuwa na jamii yao Kama hapa kwetu tulivyoambiwa twende burundi
Kahamie Mars bhanaa kasituletee nuksi, kazee kana miaka themanini huko lakini bado kamekaba nafasi ya watoto kuzaliwa...
 
Back
Top Bottom