Lord OSAGYEFO
JF-Expert Member
- Feb 19, 2021
- 3,085
- 4,890
Suala la kudai Katiba Mpya ni la lazima kwa sababu kuna makundi 3 yanajitahidi sana kupinga isipatikane.
Makundi hayo ni
Kuna kundi lisilo na Uwelewa wa katiba iliyopo na katiba mpya
Kuna kundi la wastaafu kwenye Chama cha CCM na Serikali hawa ni wanufaika na katiba iliyopo kwa uhalali au sio halali kwa mali walizonazo.
Kuna kundi la waliopo madarakani kwa katiba iliyopo kundi hili linakula keki ya taifa
makundi haya ndio wapinzani wa katiba mpya.
Makundi haya ndiyo wanatoa vijisababu visivyo na tija eti tunajenga uchumi
Tanzania imekuwa na uchumi mbovu kwa miaka 60 kutokana na katiba iliyopo leo utajenga uchumi kwa katiba iliyoshindwa kujenga uchumi kwa miaka 60?
Watanzania kama tunataka maendeleo tunatakiwa tudai katiba mpya.
Viongozi Waliopo madarakani na wabunge wanakula keki ya taifa na familia zao.
Hawana uchungu na umasikini wetu ndio Maana masikini tunapitishiwa Masheria ya Hivyo ya kodi na wabunge
Makundi hayo ni
Kuna kundi lisilo na Uwelewa wa katiba iliyopo na katiba mpya
Kuna kundi la wastaafu kwenye Chama cha CCM na Serikali hawa ni wanufaika na katiba iliyopo kwa uhalali au sio halali kwa mali walizonazo.
Kuna kundi la waliopo madarakani kwa katiba iliyopo kundi hili linakula keki ya taifa
makundi haya ndio wapinzani wa katiba mpya.
Makundi haya ndiyo wanatoa vijisababu visivyo na tija eti tunajenga uchumi
Tanzania imekuwa na uchumi mbovu kwa miaka 60 kutokana na katiba iliyopo leo utajenga uchumi kwa katiba iliyoshindwa kujenga uchumi kwa miaka 60?
Watanzania kama tunataka maendeleo tunatakiwa tudai katiba mpya.
Viongozi Waliopo madarakani na wabunge wanakula keki ya taifa na familia zao.
Hawana uchungu na umasikini wetu ndio Maana masikini tunapitishiwa Masheria ya Hivyo ya kodi na wabunge