Wanaopinga kuungama dhambi kwa Padri, ndio wapinga Kristo wanaohubiriwa na wasabato na ndio wale wanaosoma maandiko kwa kurukaruka.

Kanisa Katoliki linawaongoza wengi kwenda motoni kama wasiposhtuka na kugeuka kumrudia Mungu wao, maana katoliki hawana fundisho lolote lililo la kweli na linalopatana na biblia
 
Umeandika umeeleza vizuri sana,

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama nimeielewa hii mada vizuri ni kwamba wakati wa agano la kale ndo kulikua na justification ya kuungama kwa kuhani..ila swala ni kwamba Yesu alipokuja duniani swala la kupitia kwa kuhani ili kusamehewa dhambi lilikufa...sema sababu kanisa la katoliki linaendeleza tu misingi hio ila kwenye agano jipya hakuna hilo swala..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…