Nimesikia viongozi wengi wakiwepo wasomi wengine na PhD zao wakisema wananchi wanataka chakula wanataka maji hawataki Katiba kwa sababu hawatakula katiba. Huu ni upotishaji wa kiwango cha hali ya juu.
Katiba ni mkataba kati ya mtawala na mtawaliwa, ni jumla ya kanuni za msingi zilizoanzishwa na wananchi wenyewe ambazo zinaunda msingi wa kisheria wa sera, shirika au aina nyingine ya chombo na kwa kawaida huamua jinsi vyombo hivyo vinapaswa kuongozwa.
Sekita ya Elimu kwa mfano, inaendeshwa kwa sera na miongozo ambayo imetungiwa sheria kutokana na katiba, huwezi kujenga vituo vya Afya bila kuwa na sera bora za Afya ambazo zinatokana na katiba bora, sasa utaitenga vipi Katiba na Elimu, Afya, au Maji.
Najua wanafanya hivyo kwa maslahi binafsi kulinda vyeo nk, lkn kwa kufanya hivyo hawaitendei haki jamii isiyo na uelewa mpana wa katiba ila laana haitawaacha wote wanaopotosha.
Katiba ni mkataba kati ya mtawala na mtawaliwa, ni jumla ya kanuni za msingi zilizoanzishwa na wananchi wenyewe ambazo zinaunda msingi wa kisheria wa sera, shirika au aina nyingine ya chombo na kwa kawaida huamua jinsi vyombo hivyo vinapaswa kuongozwa.
Sekita ya Elimu kwa mfano, inaendeshwa kwa sera na miongozo ambayo imetungiwa sheria kutokana na katiba, huwezi kujenga vituo vya Afya bila kuwa na sera bora za Afya ambazo zinatokana na katiba bora, sasa utaitenga vipi Katiba na Elimu, Afya, au Maji.
Najua wanafanya hivyo kwa maslahi binafsi kulinda vyeo nk, lkn kwa kufanya hivyo hawaitendei haki jamii isiyo na uelewa mpana wa katiba ila laana haitawaacha wote wanaopotosha.