Wanaosema Rais Magufuli anapendelea Chato wanatakiwa wajibu hoja

Wanaosema Rais Magufuli anapendelea Chato wanatakiwa wajibu hoja

Corticopontine

JF-Expert Member
Joined
Sep 20, 2019
Posts
666
Reaction score
1,277
Wanaosema Muheshimiwa Rais anawapendelea wananchi wa Wilaya ya Chato kwa kutekeleza miradi mikubwa wilayani humo hata kaamua kwenda kula Christmas nyumbani kwao waje na hoja hizi (sisi wa Nyamagana hatuna swali, hata zile millioni mia alizotuahidi Mwanza Sekondari zimeshafika project inaendelea) ili niamini kweli anapendelea Chato watuletee hoja hizi.

1. Reli ya kisasa inayokwenda Chato

2. Bwawa la umeme la Mwalimu Nyerere linalojengwa Chato

3. Meli kubwa zinazojengwa Ziwa Chato

4. Hospital za Wilaya na za Rufaa zinazojengwa Chato

5. Shule za sekondari kongwe 52 zilizokarabatiwa Chato

6. Umeme wa REA vijijini Chato

7. Ndege 11 za Chato

8. Bil 23 kwa mwezi za EMBM Chato

9. Bil 202 Elimu ya juu Chato

10. Mradi wa maji toka Ziwa Victoria kwenda mikoa ya kati Chato

11. Daraja la kisasa (salender bridge) Dar es salaam Chato, Ubungo Interchange Chato - it is endless!

Stay blessed always President Magufuli.
 
Wapo makanisani jumapili hii, ngoja mchana baada ya kuwa yameshakula ndio utaona mashambulizi ya hoja zao.
 
Baada ya kushiba chai vizuri, ndipo uwezo wako wa kufikiri ukakufikisha hapo, pole sana. Jaribu kusumbua Brain yako kidogo.
 
Wanaosema Muheshimiwa Rais anawapendelea wananchi wa Wilaya ya Chato kwa kutekeleza miradi mikubwa wilayani humo hata kaamua kwenda kula Christmas nyumbani kwao waje na hoja hizi (sisi wa Nyamagana hatuna swali, hata zile millioni mia alizotuahidi Mwanza Sekondari zimeshafika project inaendelea) ili niamini kweli anapendelea Chato watuletee hoja hizi.

1. Reli ya kisasa inayokwenda Chato

2. Bwawa la umeme la Mwalimu Nyerere linalojengwa Chato

3. Meli kubwa zinazojengwa Ziwa Chato

4. Hospital za Wilaya na za Rufaa zinazojengwa Chato

5. Shule za sekondari kongwe 52 zilizokarabatiwa Chato

6. Umeme wa REA vijijini Chato

7. Ndege 11 za Chato

8. Bil 23 kwa mwezi za EMBM Chato

9. Bil 202 Elimu ya juu Chato

10. Mradi wa maji toka Ziwa Victoria kwenda mikoa ya kati Chato

11. Daraja la kisasa (salender bridge) Dar es salaam Chato, Ubungo Interchange Chato - it is endless!

Stay blessed always President Magufuli.
Kijana umekula aina gani ya chakula siku 3 za nyuma kwa ajili ya utimamu wa Ubongo na Mwili?

Mwambieni wale wanyama waliopelekwa Burigi wanasepa wanatafuta sehemu sahihi kwa kuishi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wanaosema Muheshimiwa Rais anawapendelea wananchi wa Wilaya ya Chato kwa kutekeleza miradi mikubwa wilayani humo hata kaamua kwenda kula Christmas nyumbani kwao waje na hoja hizi (sisi wa Nyamagana hatuna swali, hata zile millioni mia alizotuahidi Mwanza Sekondari zimeshafika project inaendelea) ili niamini kweli anapendelea Chato watuletee hoja hizi.

1. Reli ya kisasa inayokwenda Chato

2. Bwawa la umeme la Mwalimu Nyerere linalojengwa Chato

3. Meli kubwa zinazojengwa Ziwa Chato

4. Hospital za Wilaya na za Rufaa zinazojengwa Chato

5. Shule za sekondari kongwe 52 zilizokarabatiwa Chato

6. Umeme wa REA vijijini Chato

7. Ndege 11 za Chato

8. Bil 23 kwa mwezi za EMBM Chato

9. Bil 202 Elimu ya juu Chato

10. Mradi wa maji toka Ziwa Victoria kwenda mikoa ya kati Chato

11. Daraja la kisasa (salender bridge) Dar es salaam Chato, Ubungo Interchange Chato - it is endless!

Stay blessed always President Magufuli.
You have to be ignored

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wanaosema Muheshimiwa Rais anawapendelea wananchi wa Wilaya ya Chato kwa kutekeleza miradi mikubwa wilayani humo hata kaamua kwenda kula Christmas nyumbani kwao waje na hoja hizi (sisi wa Nyamagana hatuna swali, hata zile millioni mia alizotuahidi Mwanza Sekondari zimeshafika project inaendelea) ili niamini kweli anapendelea Chato watuletee hoja hizi.

1. Reli ya kisasa inayokwenda Chato

2. Bwawa la umeme la Mwalimu Nyerere linalojengwa Chato

3. Meli kubwa zinazojengwa Ziwa Chato

4. Hospital za Wilaya na za Rufaa zinazojengwa Chato

5. Shule za sekondari kongwe 52 zilizokarabatiwa Chato

6. Umeme wa REA vijijini Chato

7. Ndege 11 za Chato

8. Bil 23 kwa mwezi za EMBM Chato

9. Bil 202 Elimu ya juu Chato

10. Mradi wa maji toka Ziwa Victoria kwenda mikoa ya kati Chato

11. Daraja la kisasa (salender bridge) Dar es salaam Chato, Ubungo Interchange Chato - it is endless!

Stay blessed always President Magufuli.
Huna uelewa
 
Wapo makanisani jumapili hii, ngoja mchana baada ya kuwa yameshakula ndio utaona mashambulizi ya hoja zao.
Uwe na adabu na heshima kwa binadamu wenzako na acha kujiona Bora kuliko wao! Neno "yameshakula" linadunisha ubinadamu na utu wa mtu unless uwe unayaandikia mashetani! Rekebisha haraka!
 
Uwe na adabu na heshima kwa binadamu wenzako na acha kujiona Bora kuliko wao! Neno "yameshakula" linadunisha ubinadamu na utu wa mtu unless uwe unayaandikia mashetani! Rekebisha haraka!
Usiwe mwepesi kuhukumu maandishi. Yanaandikwa na binadamu.

Lengo ni kuandika wameshakula.
 
Usipopenda kwako utapenda wapi?.
Charity begins at home.
P.
Mbona Kama unarudia nyuma badala ya kusonga mbele? Nyerere mnayemuimba kumuenzi aliyafanya hayo? Au unawasanifu wananchi wa mkoa wa Mara, mtwara, pwani na Zanzibar ambao waliwatoa Marais waliopita na hawakufanya hiyo charity huko kwao? P hebu zongesha akili yako mbele na nyuma uone ulivyopotoka!
 
Wengine akili zao ni kama za mbwa na Bwana yake, Bwana yake anapomrushia mfupa ana mshukuru mpaka gego la mwisho linaonekana na kusahau kuwa minofu yote imetafunwa na Bwana yake,na mifupa aliotupiwa na Bwana yake ni ya kumpumbaza akili ajione kuwa wote wako sawa wanakula minofu.
 
1.taa za barabarani Chato.

2.Soko la dhahabu Chato.

3. Jengo la kisasa la tanesco Chato.

4. Airport Chato.

5. Wilaya Chato

6.Barabara za lami za mitaa Chato.

7. Hifadhi ya Taifa Chato.

8. Chuo kikuu Cha Serikali Kanda ya ziwa Chato( bado Ni tetesi).

9. Bandari Chato.

10.hostiptal ya rufaa ya wilaya. Chato.

Mkuu nafikri nimetosha kabisa kujibu kwa hoja kumi Kama Wewe ulivyouliza kwa hoja kumi.

Maoni yangu: japo Chato nayo Ni Tanzania lakini Kuna ubinafsi wa kimaendeleo uliopo .

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom