Nichumu Nibebike
JF-Expert Member
- Aug 28, 2016
- 8,658
- 15,793
Zikifika bilioni ishirini za kuweza kufadhili mchakato wa katiba mpya, then ndipo tutakapoufikiria.
Tulisha tumia pesa nyingi kudai katiba katika mchakato ambao uliharibiwa na wana harakati.
Hatuwezi kupoteza tena pesa kurudia mchakato huo.
So wale wenye uchungu wachangie fedha za kufadhili mchakato huo!
Tulisha tumia pesa nyingi kudai katiba katika mchakato ambao uliharibiwa na wana harakati.
Hatuwezi kupoteza tena pesa kurudia mchakato huo.
So wale wenye uchungu wachangie fedha za kufadhili mchakato huo!