Nichumu Nibebike
JF-Expert Member
- Aug 28, 2016
- 8,658
- 15,793
Unazungumza kama mtu mwenye mamlaka na maamuzi ktk nchi aisee. Yangu macho !Zikifika bilioni ishirini za kuweza kufadhili mchakato wa katiba mpya, then ndipo tutakapoufikiria.
Tulisha tumia pesa nyingi kudai katiba katika mchakato ambao uliharibiwa na wana harakati.
Hatuwezi kupoteza tena pesa kurudia mchakato huo.
So wale wenye uchungu wachangie fedha za kufadhili mchakato huo!
Sidhani kama jibu nililonalo kwako linanikosesha ban. Acha nikae kimya!!Naafiki kabisa. Mchakato waliuharibu wenyewe halafu wanaulilia tena, kama wao ni wazalendo basi wachangie wenyewe mchakato huo, maana sisi hatuna muda huo.
Naafiki kabisa. Mchakato waliuharibu wenyewe halafu wanaulilia tena, kama wao ni wazalendo basi wachangie wenyewe mchakato huo, maana sisi hatuna muda huo.
mlisema kikwete alikua anafuja bila kujua alikua anazipata wapi ameingia anaye jinasibu kubana matumizi imekua majanga matumizi yenyewe yanayibanwa hayaonekani wala hakuna statistics zinazo onesha amebana kwa kiasi gani kulingamisha na mliyesema alikua mfujajiZikifika bilioni ishirini za kuweza kufadhili mchakato wa katiba mpya, then ndipo tutakapoufikiria.
Tulisha tumia pesa nyingi kudai katiba katika mchakato ambao uliharibiwa na wana harakati.
Hatuwezi kupoteza tena pesa kurudia mchakato huo.
So wale wenye uchungu wachangie fedha za kufadhili mchakato huo!