rakeyescarl
JF-Expert Member
- Dec 9, 2007
- 481
- 147
Regards,
Kuhusa gharama inategemea na kozi unayotaka kusoma.
Kwa mfano kozi za biashara B.com na BBM ni $2500 first yea and $1000 kwa miaka ya 2 & 3. But kwa masters ni $4000 kwa mwaka wa kwanza and $2000 kwa miaka mingine. And this cost depends na chuo. Hapo nimewatajia vyuo vyenye average fees.
pharmacy ni $3000 first year. And $1500 remaining 3yrs,
Udaktari inaanzia $12,000-30,000 inategemea unasomea udaktari gani. Coz kuna dentist, neurologist n.k
That why nime-request mtu aniulize personal kwa kutumia email yangu ktegwa20@gmail.com
Please wasiliana na mimi kama kweli una nia ya kusoma. Otherwise niko bize sana na shule. You will be wasting yours and my time too. Thank you
Kwa hyo unawashauri watu wote wanaoliwa vichwa bongo wakimbilie huko india co?maana cjawah ona kipanga anae faulu fresh afu akakimbilia kusoma huko,most of them huwa ni failures ndo wanakimbilia india,cjui kwa nin huwa iko hvo!
mkuu naweza pata kituo cha kurist mtihani wa 4m four huko india?
Mtaenda kusoma mkirudi vyeti havitambuliwi na TCU kuweni makini na hivyo vyuo bora usome Tanzania maana jitihada zako ndio zitakutoa popote pale na sio chuo
mkuu naweza pata kituo cha kurist mtihani wa 4m four huko india?
TCU kitu gani mkuu hata hao watoto wapo india tumebakia sisi walalahoi kuendeshwa na hiyo TCU.
Sijakukataza kwenda we nenda ukirudi ndio utajua umuhimu wa TCU
Sawa mkuu basi we komaa na hiyo TCU yako, wenye maono ya mbali ngoja wakatafute elimu bora na sio bora elimu.
vp mkuu,uliliwa kichwa na necta eeeh?
Wasaalimu Jamii forum
Mimi ni kijana mwenzenu nasoma india kwa sasa. Ni mwaka wa 4. Nasomea medicine.
Ki ukweli huwa nawasikitikia sana vijana wenzangu, ambao pia naweza waita wadogo zangu. Pale matokeo yanapotoka. Wengi huchanganyikiwa "what next".
Ni wazi idadi ya shule Tanzania ni ndogo sana. Hasa kwa A-level na vyuo vikuu. Hivyo inawalazimu wengi kukatisha ndoto zao na kujikuta wakienda kusoma vitu ambavyo hawajatarajia kama vi-diploma n.k.
Na inasemekana kuwa huwa ni mpango madhubuti kufelisha wanafunzi kutokana na idadi ya shule kuwa ndogo au ufinyu wa fedha za mkopo.
Mimi kama mtanzania na mwenye mapenzi mema na wadogo zangu, nimeona niwaeleze opportunity zilizopo. Usikate tamaa kwa matokeo mabaya au kwa kukosa either shule au chuo. India is a place to study. Si kwamba wanapokea wanafunzi wajinga. La hasha, uku kuna shule nyingi sana. And huwa wanashangaa kwa nini vijana wanatoka Tz na matokeo mabaya wakija uku wanafaulu.
Kwa mfano mimi nilipata div3 ya mwisho, na vyuo bongo walinikataa. But nilipata chuo india na sasa nakaribia kuwa daktari. Na nina uhakika wa kuwa daktari mtaalamu na mjuzi zaidi ya wanaosomea bongo. Nyie wenyewe mnajua India ilivyo kwenye udaktari.
Basi kwa wadogo zangu wanaohitaji kuja india wanipigie kwenye hii namba +91 9731 595412. Kwa wanaotaka kuja kosema degree au pre university. mchipuo au Kozi yoyote ile.
Pre univerity ni kama form 5& 6 ya Tz.
NB: ukinitafuta uwe serious. Usilete utani, sina mda wa utani. Ninachojaribu ni kuwasaidia ili msipoteze malengo yenu
Mimi nakushauri uingie private A-level usome PCB, kuna uwezekano ukafanya vizuri mtihani wa form six. Kipindi kile tunasoma sisi kulikuwa na michongo ya kuandikishwa form five unawekewa condition kwamba ni lazima urudie mtihani/mitihani wa o-level na upate at least C moja, kabla haujaingia term ya mwisho ya form six(ukishindwa kupata at leat C moja hauruhusiwi kufanya mtihani wa form six, hivyo inabidi ukaze buti). Tafuta watu wanaofahamu michongo kama hiyo na nina uhakika watakuwepo.Mkuu ahsante kwa uzalendo wako, Necta wamenipiga na kitu chenye ncha kali lakin Biology nina B na Chemisty B na mengine D zote alafu sina qualification za kwenda advance so naomba unisaidie kimawazo kama ninaweza kupata nafasi huko kusomea hata medicine au phamacy.
GRE (graduate record exam) ni mtihani ambao unatakiwa kufanya kabla hujajiunga na degree ya masters kwenye baadhi ya states za marekani na kwingineko, mara nyingi ni kwa wale watakaosomea masters ambazo zina-relate na engineering.GRE ndo ni kaka
Salama kaka habari ya shule? wanaongea vibaya hawajui ni jinsi gani watoto wamekuwa affected na haya matokeo. watoto wakifail ni mzigo kwa wazazi na wao pia ndoto zao zinaptoea. mimi mtt wangu amesoma shule za katoliki na hata tokea form 1-4 hajawai pata physics,biology,chemistry,maths D,E,F hata siku moja. ndoto zake ni siku moja awe engeneer leo necta wanatoa eti kapata D, yy mwenywe alichanganyikiwa na mm pia na hata walimu wake shuleni. anyway tutajitahidi tu, nauliza nini bora, coz mm wangu nampelekea A level Uganda then chuo ndio nimlete India maana nikisema aje form four kwa ss hv watampokea chuoni kweli? au inabidi aje huko afanya A level ya India? naomba unishauri. Necta disappoint sana. Anyway tunamuachia Mungu atatusaidia na kuwasiadia watoto wetu....
Mimi nakushauri uingie private A-level usome PCB, kuna uwezekano ukafanya vizuri mtihani wa form six. Kipindi kile tunasoma sisi kulikuwa na michongo ya kuandikishwa form five unawekewa condition kwamba ni lazima urudie mtihani/mitihani wa o-level na upate at least C moja, kabla haujaingia term ya mwisho ya form six(ukishindwa kupata at leat C moja hauruhusiwi kufanya mtihani wa form six, hivyo inabidi ukaze buti). Tafuta watu wanaofahamu michongo kama hiyo na nina uhakika watakuwepo.