Wanaotoka JKT wapewa muda kuomba mikopo ya elimu ya juu

fisadimpya

Senior Member
Joined
Oct 27, 2011
Posts
191
Reaction score
103
Kwa wenye madogo wanaomalizia msoto wakujitakia ndani ya JKT, Bodi imewaongezea siku 10 kuanzia tar 20 hadi 30 ili waweze kuomba mikopo ya elimu ya juu.
 
Ni wa JKT pekee au hata aliyechelewa anaruhusiwa kuomba?
 
Yaana kama wew ni mwanafunzi na unatamani uendelee na masomo tena kupitia mikopo ya bodi na hujaomba mpaka sasa kisa JKT bac inashangaza.Yaan ujali sana JKT ambayo ukitoka hapo hupewi hta kazi ya kulinda ATM..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…