Wanaounga mkono Isreal hawajui historia, wanapotosha

Wanaounga mkono Isreal hawajui historia, wanapotosha

Malaria 2

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2023
Posts
6,846
Reaction score
10,288
Majdal Shams ni wapi?

Majdal Shams iko katika eneo la Golan Heights, uwanda wa miamba kusini magharibi mwa Syria wenye umuhimu mkubwa wa kimkakati, ambao ulikaliwa na Israel wakati wa vita vya 1967 na kusalia chini ya udhibiti wake tangu wakati huo, ingawa jumuiya ya kimataifa inaitambua Milima ya Golan, kama sehemu ya Syria.

Hapo awali Majdal Shams ilisimamiwa chini ya ugavana wa kijeshi wa Israel, na mnamo 1981 Knesset ilipitisha Sheria ya Milima ya Golan, ambayo ilijumuisha eneo hilo katika mfumo wa baraza la mitaa la Israel na hatimaye kuunganishwa.

Hatua hii ilitambuliwa rasmi tna Marekani pekee, wakati wa utawala wa Donald Trump mnamo Machi 2019.
Jamii nne zilizosalia za Druze za Syria katika maeneo yanayokaliwa na Israel, Majdal Shams ndiyo kubwa zaidi, ikifuatiwa na Ein Qiniya, Masada, na Buqa'atha.

kwa mujibu wa Ofisi Kuu ya Takwimu ya Israel, Majdal Shams ilikuwa na wakazi 11,458 mwaka 2022, wengi wao wakiwa Druze.
 
Taifa teule Israel ubarikiwe. Watabarikiwa wanaokubariki ,watalaaniwa wanao kulaani.

Wewe ni mteule maana kwako tumepata masihi aliyeukomboa ulimwengu mwenye ufalme mabegani mwake. Mungu mwenye nguvu.

Ubarikiwe Israel🙏
Ubarikiwe Israel 🙏
Ubarikiwe Israel🙏
 
Taifa teule Israel ubarikiwe
Watabarikiwa wanaokubariki ,watalaaniwa wanao kulaani.
Wewe ni mteule maana kwako tumepata masihi aliyeukomboa ulimwengu mwenye ufalme mabegani mwake. Mungu mwenye nguvu.
Ubarikiwe Israel🙏
Ubarikiwe Israel 🙏
Ubarikiwe Israel🙏
UTABAKI KUANDIKA HIVYO HIVYO, HUJUI HATA UNAFANYA NINI
 
Huko Golan walishasema tokea miaka hiyo hawataki kutawaliwa na Syria.. wanataka Utawala wa Israel wa Democracy..

Vyombo vya habari ya kiarabu vimefurahia makombora ya Hezbollah kuwaua wasaliti..nyie Muslim mnapotesha bila sababu
 
Huko Golan walishasema tokea miaka hiyo hawataki kutawaliwa na Syria.. wanataka Utawala wa Israel wa Democracy..

Vyombo vya habari ya kiarabu vimefurahia makimbora ya Hezbollah kuwaua wasariti..nyie Muslim mnapotesha bila sababu
Wewe dogo Paulo kakuharibu akili, Israel leo wamekiri kosa ni lao kama alivyo sema Hezbullah.

Hivi wewe unadhani Hezbullah anamuogopa Israel? Hezbullah anaogopa Mungu hawezi uwa watu bila hatia unless Israel crossed the redline.
 
Taifa teule Israel ubarikiwe. Watabarikiwa wanaokubariki ,watalaaniwa wanao kulaani.

Wewe ni mteule maana kwako tumepata masihi aliyeukomboa ulimwengu mwenye ufalme mabegani mwake. Mungu mwenye nguvu.

Ubarikiwe Israel🙏
Ubarikiwe Israel 🙏
Ubarikiwe Israel🙏
Hawa ndio wale wateule wa Mungu ambao walimgeuzia kibao Mungu Yesu wakamtandika mijeledi ya kutosha kisha wakamtundika msalabani na kumuua?
 
Hawa ndio wale wateule wa Mungu ambao walimgeuzia kibao Mungu Yesu wakamtandika mijeledi ya kutosha kisha wakamtundika msalabani na kumuua?
Taifa teule Israel ubarikiwe
Watabarikiwa wanaokubariki ,watalaaniwa wanao kulaani.
Wewe ni mteule maana kwako tumepata masihi aliyeukomboa ulimwengu mwenye ufalme mabegani mwake. Mungu mwenye nguvu.
Ubarikiwe Israel🙏
Ubarikiwe Israel 🙏
Ubarikiwe Israel🙏
 
Huko Golan walishasema tokea miaka hiyo hawataki kutawaliwa na Syria.. wanataka Utawala wa Israel wa Democracy..

Vyombo vya habari ya kiarabu vimefurahia makimbora ya Hezbollah kuwaua wasariti..nyie Muslim mnapotesha bila sababu
= wasaliti.

Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
 
Wewe dogo Paulo kakuharibu akili, Israel leo wamekiri kosa ni lao kama alivyo sema Hezbullah.

Hivi wewe unadhani Hezbullah anamuogopa Israel? Hezbullah anaogopa Mungu hawezi uwa watu bila hatia unless Israel crossed the redline.
Una iyo article ya Israel kukiri mkuu
 
Wewe dogo Paulo kakuharibu akili, Israel leo wamekiri kosa ni lao kama alivyo sema Hezbullah.
Mmetangaziwa Msikitini mkaamini hapo hapo kuwa Israel amesema amepiga yeye Rockets made in Iran?
Hivi wewe unadhani Hezbullah anamuogopa Israel? Hezbullah anaogopa Mungu hawezi uwa watu bila hatia unless Israel crossed the redline.
Lets wait and see.. the movie bila uongo.

Uongo unakusaidia chochote katika maisha yako?
 
Majdal Shams ni wapi?

Majdal Shams iko katika eneo la Golan Heights, uwanda wa miamba kusini magharibi mwa Syria wenye umuhimu mkubwa wa kimkakati, ambao ulikaliwa na Israel wakati wa vita vya 1967 na kusalia chini ya udhibiti wake tangu wakati huo, ingawa jumuiya ya kimataifa inaitambua Milima ya Golan, kama sehemu ya Syria.

Hapo awali Majdal Shams ilisimamiwa chini ya ugavana wa kijeshi wa Israel, na mnamo 1981 Knesset ilipitisha Sheria ya Milima ya Golan, ambayo ilijumuisha eneo hilo katika mfumo wa baraza la mitaa la Israel na hatimaye kuunganishwa.

Hatua hii ilitambuliwa rasmi tna Marekani pekee, wakati wa utawala wa Donald Trump mnamo Machi 2019.
Jamii nne zilizosalia za Druze za Syria katika maeneo yanayokaliwa na Israel, Majdal Shams ndiyo kubwa zaidi, ikifuatiwa na Ein Qiniya, Masada, na Buqa'atha.

kwa mujibu wa Ofisi Kuu ya Takwimu ya Israel, Majdal Shams ilikuwa na wakazi 11,458 mwaka 2022, wengi wao wakiwa Druze.
Yaani watu wa dini ya kiarabu kwa ubishi mpo vizuri
 
Majdal Shams ni wapi?

Majdal Shams iko katika eneo la Golan Heights, uwanda wa miamba kusini magharibi mwa Syria wenye umuhimu mkubwa wa kimkakati, ambao ulikaliwa na Israel wakati wa vita vya 1967 na kusalia chini ya udhibiti wake tangu wakati huo, ingawa jumuiya ya kimataifa inaitambua Milima ya Golan, kama sehemu ya Syria.

Hapo awali Majdal Shams ilisimamiwa chini ya ugavana wa kijeshi wa Israel, na mnamo 1981 Knesset ilipitisha Sheria ya Milima ya Golan, ambayo ilijumuisha eneo hilo katika mfumo wa barazakwa la mitaa la Israel na hatimaye kuunganishwa.

Hatua hii ilitambuliwa rasmi tna Marekani pekee, wakati wa utawala wa Donald Trump mnamo Machi 2019.
Jamii nne zilizosalia za Druze za Syria katika maeneo yanayokaliwa na Israel, Majdal Shams ndiyo kubwa zaidi, ikifuatiwa na Ein Qiniya, Masada, na Buqa'atha.

kwa mujibu wa Ofisi Kuu ya Takwimu ya Israel, Majdal Shams ilikuwa na wakazi 11,458 mwaka 2022, wengi wao wakiwa Druze.
Kwa hiyo maisha ya dunia hii yameanza mwaka 1967?Hebu jiridhishe tena na tena bila wahka.
 
sio dini ya Kiarabu. dini ya ya binaadam wote duniani. wenye ufinyu wa ufahamu ndio wanaipinga
Wewe lini utaelimika kila siku tunawapeni kisomo ili mtoke upumbavuni ni bora kuwa mjinga ukajakuelewa ukielimishwa na sio upumbavu huto elewa kamwe.. Allah anawaambieni hajawahi tuma mtume anayeongea lugha isiyo ya jamii yake.. so Mohamad alitumwa kuwa muonyaji kwa watu wake Arabs so wewe ndio mpingaji kafir soma Quran yenu.

Unadhani warner Mudy aliongea kiswahili ili umeelewe au kimatumbi? uislam ni Arabs ndio maana quran ya kiarabu ili waarabu waelewe kichekesho arabas pia hawaelewi Quran hadi Tafsiri za uongo Quran 41:3 and Quran 12:2 Hakika Sisi kina Allah's tumeiteremsha kuwa ni Qur'ani kwa Kiarabu ili mpate kufahamu.
Quran 42:7 inasema Mody ni Muonyaji tu wa Mji wa Mecca na maeneo ya pembezoni ya mji huo.. Sasa Tanzania ni pepmbezoni mwa mecca na Tunaongea Kiarabu?

Quran 14:4
Na hatukumtuma Mtume ila kwa lugha ya watu wake ili awabainishie, na Mwenyezi Mungu humdanganya amtakaye na humwongoa amtakaye. Naye ndiye Mwenye nguvu, Mwenye hikima.

(Swali jiulize Allah muongo sasa hapo kuna Hikima?)
Quran(62:2) “Yeye ndiye (Mwenyezi Mungu) aliyeleta miongoni mwa watu wasiojua kusoma na kuandika Mtume kutoka miongoni mwao.”

Kwa hiyo Muhammad anadai tu kuwa nabii kwa ajili ya “Umeen” watu wasiosoma wa Arabia.

Inafurahisha pia kuona hapa kwamba "Umeen" inaweza pia kumaanisha watu wa Makka
 
Back
Top Bottom