Wanaouza flash zenye nyimbo

bulabo

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2015
Posts
628
Reaction score
780
Je hawa jamaa wanaozunguka K/koo na gari wakiuza flash zina nyimbo tofauti tofauti wanavibali au wamezilipia hizo nyimboo maana BASATA wangeanza na hawa jamaa na wachoma cd K/koo kama

Kweli wako serious kuwasaidia wasaniii
 
Wenzio wakale wapi sasa,mijitu mingime INA roho mbaya saana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…