B bulabo JF-Expert Member Joined Aug 20, 2015 Posts 628 Reaction score 780 Aug 31, 2019 #1 Je hawa jamaa wanaozunguka K/koo na gari wakiuza flash zina nyimbo tofauti tofauti wanavibali au wamezilipia hizo nyimboo maana BASATA wangeanza na hawa jamaa na wachoma cd K/koo kama Kweli wako serious kuwasaidia wasaniii
Je hawa jamaa wanaozunguka K/koo na gari wakiuza flash zina nyimbo tofauti tofauti wanavibali au wamezilipia hizo nyimboo maana BASATA wangeanza na hawa jamaa na wachoma cd K/koo kama Kweli wako serious kuwasaidia wasaniii
Mbao za Mawe JF-Expert Member Joined May 11, 2015 Posts 23,372 Reaction score 54,943 Aug 31, 2019 #2 Nyimbo za aina gani wanachoma?
BABA SANIAH JF-Expert Member Joined Oct 20, 2013 Posts 4,606 Reaction score 5,922 Sep 5, 2019 #3 Wenzio wakale wapi sasa,mijitu mingime INA roho mbaya saana