Wanaouza viwanja mitandaoni ni halali?

Wanaouza viwanja mitandaoni ni halali?

Bavaria

JF-Expert Member
Joined
Jun 14, 2011
Posts
53,092
Reaction score
53,496
Napita mitandaoni nakuta kuna watu wamefungua makampuni yao wanauza viwanja vilivyopimwa tayari.

Naomba kuuliza kama hawa jamaa hawana magumashi. Au kama kuna alienunua kwao anipe uzoefu kidogo.
 
Napita mitandaoni nakuta kuna watu wamefungua makampuni yao wanauza viwanja vilivyopimwa tayari.

Naomba kuuliza kama hawa jamaa hawana magumashi. Au kama kuna alienunua kwao anipe uzoefu kidogo.
Nilikua Dodoma 2017 hadi 2019.
Sikua na kampuni lakini nilitafuta viwanja na mashamba.
Kisha nilitangaza hapa JamiiForums na nilipata wateja wengi kwa makubaliano ya kuwapeleka kwa mwenye shamba/kiwanja na kisha wakimaliza makubaliano ananilipa 10%.
Hakika nilipata pesa na hii najivunia hata sasa kwa kuijua Jf.
Njema zaidi sikuwahi kufanya yeyote aliye nifaham akajutia.
 
Ndo nataka kujua.

Ni kweli makampuni ya real estate yamekua mengi. Ni bora kununua kiwanja kwa kampuni kuliko kwa mtu binafsi,

Viwanja vya watu mara nyingi ni mali ya familia. so kuna wakati anauza baba tu ilihali watoto na mke inabidi wahusike.

Ni bora kununua kwa kampuni kwa sababu ya uhakika wa barabara.
makampuni mengi yanauza Dar Kigamboni na Bagamoyo pamoja na kibaha na njia hiyo kuelekea mikoani.

pia kuna wale wa chanika na mbagala wahuniwahuni.

Angalizo:. wakati unaingia mkataba wa makubaliano ya ununuzi hakikisha Ni jukumu la muuzaji kutafuta hati ya wizara ya eneo husika.

Kama utahitaji eneo upande wa kigamboni nitakuunganisha na kampuni ambayo ninefanya nayo biashara na hawana longolongo
 
Huko Kigamboni vinatembea kwa bei gani?
Ni kweli makampuni ya real estate yamekua mengi. Ni bora kununua kiwanja kwa kampuni kuliko kwa mtu binafsi,

Viwanja vya watu mara nyingi ni mali ya familia. so kuna wakati anauza baba tu ilihali watoto na mke inabidi wahusike.

Ni bora kununua kwa kampuni kwa sababu ya uhakika wa barabara.
makampuni mengi yanauza Dar Kigamboni na Bagamoyo pamoja na kibaha na njia hiyo kuelekea mikoani.

pia kuna wale wa chanika na mbagala wahuniwahuni.

Angalizo:. wakati unaingia mkataba wa makubaliano ya ununuzi hakikisha Ni jukumu la muuzaji kutafuta hati ya wizara ya eneo husika.

Kama utahitaji eneo upande wa kigamboni nitakuunganisha na kampuni ambayo ninefanya nayo biashara na hawana longolongo
 
Ni kweli makampuni ya real estate yamekua mengi. Ni bora kununua kiwanja kwa kampuni kuliko kwa mtu binafsi,

Viwanja vya watu mara nyingi ni mali ya familia. so kuna wakati anauza baba tu ilihali watoto na mke inabidi wahusike.

Ni bora kununua kwa kampuni kwa sababu ya uhakika wa barabara.
makampuni mengi yanauza Dar Kigamboni na Bagamoyo pamoja na kibaha na njia hiyo kuelekea mikoani.

pia kuna wale wa chanika na mbagala wahuniwahuni.

Angalizo:. wakati unaingia mkataba wa makubaliano ya ununuzi hakikisha Ni jukumu la muuzaji kutafuta hati ya wizara ya eneo husika.

Kama utahitaji eneo upande wa kigamboni nitakuunganisha na kampuni ambayo ninefanya nayo biashara na hawana longolongo
Zipo nyingi naziona instagram.

Ila sina mpango wa kuishi kigamboni.
 
Ni kweli makampuni ya real estate yamekua mengi. Ni bora kununua kiwanja kwa kampuni kuliko kwa mtu binafsi,

Viwanja vya watu mara nyingi ni mali ya familia. so kuna wakati anauza baba tu ilihali watoto na mke inabidi wahusike.

Ni bora kununua kwa kampuni kwa sababu ya uhakika wa barabara.
makampuni mengi yanauza Dar Kigamboni na Bagamoyo pamoja na kibaha na njia hiyo kuelekea mikoani.

pia kuna wale wa chanika na mbagala wahuniwahuni.

Angalizo:. wakati unaingia mkataba wa makubaliano ya ununuzi hakikisha Ni jukumu la muuzaji kutafuta hati ya wizara ya eneo husika.

Kama utahitaji eneo upande wa kigamboni nitakuunganisha na kampuni ambayo ninefanya nayo biashara na hawana longolongo
Uko sahihi mkuu

Tuambie hiyo kampuni tuwatafute
 
Zipo nyingi naziona instagram.

Ila sina mpango wa kuishi kigamboni.
Kutotaka kuishi kigamboni kusikuzuie ww kufanya maendeleo kigamboni.

Unaweza ukanunua kiwanja cha biashara kigamboni

Baada ya muda mji ukikua ukajenga frame za biashara

Unaweza ukanunua kiwanja baadaye ukauza

Think twice
 
Nilikua Dodoma 2017 hadi 2019.
Sikua na kampuni lakini nilitafuta viwanja na mashamba.
Kisha nilitangaza hapa JamiiForums na nilipata wateja wengi kwa makubaliano ya kuwapeleka kwa mwenye shamba/kiwanja na kisha wakimaliza makubaliano ananilipa 10%.
Hakika nilipata pesa na hii najivunia hata sasa kwa kuijua Jf.
Njema zaidi sikuwahi kufanya yeyote aliye nifaham akajutia.
Huu mtego huuu
 
Mimi nimenunua na kampuni niliyoikuta mitandaoni, inaitwa mohamed property wanaviwanja vyao new obey village kisemvule
Uzuri unaenda kuona viwanja unachagua unalipia ofisi za kata mnaenda kuandikishiana yaani unapewa hati ya mauziano biashara sikuizi zipo mitandaoni japo na matapeli wapo hatukatai lakini kupigwa ni kutaka wewe mwenyewe ununuzi wa kiwanja tofauti na bidhaa zingine za kuhamishika.
 
Back
Top Bottom