Wanapeana wenyewe kwa wenyewe

Wanapeana wenyewe kwa wenyewe

ladyfurahia

JF-Expert Member
Joined
May 10, 2011
Posts
14,753
Reaction score
9,575
Habari wadau,

Hizi zama zimebadilika sana, huwezi kuona mtu wa hali ya chini akawa afisa maendeleo kata, ama huwezi kukuta mtu akimegewa mkate ulionona ilihali na yeye amezama akabukua na kutoa matirio mazuri ila sasa kwenye mgawanyo hukosa hata soko lake.

Je, kuna ulinganifu hapo jamani ndo maana nasema nyakati hizi zimebadilika tofauti na zile za nyuma ambazo mbweha naye aliweza kula sahani moja na simba. Sasa nini kimelipata jiji hili letu ambalo wengi wanalipenda mno.

Mimi nadhani turudi zama za kale ambazo wote tuliweza kuumega mkate na kushiriki pamoja, tukawa tukidumu kwenye upendo na kupeana bila kuangalia huyu ni nani na yule ni nani?

Kama jua limewaka liwake kotekote sio mahali pakavu hata pale pabichi pia. Aksanteni.

Wasalaam
LADYF

NIMERUDI KIVINGINE WADAU
 
Wenye nchi ndio wanaruhusiwa kutafuna nchi.Sisi wananchi kazi yetu ni kutengeneza chakula Cha wenye nchi

Kwelii Hali imekuwa ngumu mpaka dada yangu na wewe umeliona hilo
 
Wenye nchi ndio wanaruhusiwa kutafuna nchi.Sisi wananchi kazi yetu ni kutengeneza chakula Cha wenye nchi

Kwelii Hali imekuwa ngumu mpaka dada yangu na wewe umeliona hilo
yaani wewe acha tu mambo magumu ila itabidi tumwombe Mungu atunusuru na hili janga
 
Biashara zimekuwa ngumu, wafanyakazi wa chini ambao ndiyo huleta Hela mtaani nawo wamechoka na gharama za maisha,
Kila kitu kipo bei juu ila mishahara Yao ipo pale pale,
Ni kilio Cha kimya kimya huku wengine wakinunuliwa magari mapya tena ya bei kubwa na isitoshe wana nyumba za bure zenye full fenenicha!
 
Sasa hapo ndipo tofauti Kati ya "wenye nchi" na "wananchi" inapokuwa dhahiri.
2025 watakuja Tena kuomba kuendelea kula huku wakiwapoza na pilau, khanga ,btshet na kofia. Baada ya hapo sahau maana 2030 CCM itashindwa vibaya Sana kwenye uchaguzi.
Ukimsikiliza Wasira, Neppy na kipara utajua tu kwamba Kuna kitu.
 
Habari wadau,

Hizi zama zimebadilika sana, huwezi kuona mtu wa hali ya chini akawa afisa maendeleo kata, ama huwezi kukuta mtu akimegewa mkate ulionona ilihali na yeye amezama akabukua na kutoa matirio mazuri ila sasa kwenye mgawanyo hukosa hata soko lake.

Je, kuna ulinganifu hapo jamani ndo maana nasema nyakati hizi zimebadilika tofauti na zile za nyuma ambazo mbweha naye aliweza kula sahani moja na simba. Sasa nini kimelipata jiji hili letu ambalo wengi wanalipenda mno.

Mimi nadhani turudi zama za kale ambazo wote tuliweza kuumega mkate na kushiriki pamoja, tukawa tukidumu kwenye upendo na kupeana bila kuangalia huyu ni nani na yule ni nani?

Kama jua limewaka liwake kotekote sio mahali pakavu hata pale pabichi pia. Aksanteni.

Wasalaam
LADYF

NIMERUDI KIVINGINE WADAU
Kazi za watoto wa maskini zote hazina maslahi kabisa.

Ndio maana wao na watoto wao huwezi kuwakuta huko.

Mf: UALIMU, MAGEREZA NA POLISI.
 
2025 watakuja Tena kuomba kuendelea kula huku wakiwapoza na pilau, khanga ,btshet na kofia. Baada ya hapo sahau maana 2030 CCM itashindwa vibaya Sana kwenye uchaguzi.
Ukimsikiliza Wasira, Neppy na kipara utajua tu kwamba Kuna kitu.
sanasana khanga nna matisheti tunasahau yote
 
Biashara zimekuwa ngumu, wafanyakazi wa chini ambao ndiyo huleta Hela mtaani nawo wamechoka na gharama za maisha,
Kila kitu kipo bei juu ila mishahara Yao ipo pale pale,
Ni kilio Cha kimya kimya huku wengine wakinunuliwa magari mapya tena ya bei kubwa na isitoshe wana nyumba za bure zenye full fenenicha!
tunaoumia ni sisi wa chini yaani ila Mungu anaweza
 
Ulipotea sana sijui kwann hata kule kilingeni sijui kama bado kupo. Ajira zimekua za kimichongo sana kwa vile ni chache
hahahaaaaaa maisha best yamenifanya niwe mbali ikidogo ila nimerudi sasa

ajira zenyewe wanapeana wenyewe kwa wenyewe sasa mtoto wa mkulima atapaje

KILINGENI NDO WAPI TENA UKO BESTITO?
 
Back
Top Bottom