Wanapokuja kukukamata bila utaratibu (kukuteka) ni bora wakuue mbele za watu kuliko wakuchukue, wakutese na wakuue mafichoni

Wanapokuja kukukamata bila utaratibu (kukuteka) ni bora wakuue mbele za watu kuliko wakuchukue, wakutese na wakuue mafichoni

Robert Heriel Mtibeli

JF-Expert Member
Joined
Mar 24, 2018
Posts
28,297
Reaction score
68,017
Kwema Wakuu!

Nimeona clip ya Mwanaume mmoja àmbaye alikuwa anatekwa Mchana kweupe pee, mbele za Umma.

Ikitokea upo katika Hali kama hiyo. Fanya utakachofanya, pigana utakavyopigana, jitahidi kadiri uwezavyo lakini Kamwe usiruhusu wakuchukue ukiwa mzima.

Ni ufe au wakuue mbele za halaiki ujulikane uliuawa mbele za Watu kuliko wakakuue mafichoni.

Usiogope Kufa mbele za Watu.
Kufa mbele za Watu ni ushujaa.

Wakuue kama Mbwa Mwizi au Paka shume ni akheri hivyo kuliko wakukamate wakakuulie mafichoni.

Kama hawatafuata utaratibu, waambie watakuchukua ukiwa umekufa na onyesha hivyo.
Usiogope Kufa mbele za Watu ukiwa unajitetea.

Wakikupeleka mafichoni utaumia Sana. Utateseka Sana. Utakufa Kifo kibaya Sana.
Lakini mbele za Watu litakuwa pambano Bora Kabisa la kishujaa. Hautateseka. Haitakuchua dakika Kumi kama ni wakufa utakuwa umekufa.
Mbele za halaiki utakuwa na uwezo hata wa kurusha ngumi lakini mafichoni Hilo halitatokea.

Huna sababu ya kuogopa yeyote linapokuja Swala la kutetea uhai wako.

Nasisitiza, onyesha Kabisa upo tayari Kufa na yeyote au mwenyewe lakini siô kukamatwa kama Swala au Kuku.

Hiyo ndîo íwe Siku uliyokuwa unaisubiria Kwa Hamu. Siku ya Kifo chako. Siku ya Kifo chako Huna sababu ya kuwa mwoga. Kwa sababu hutakuwa na chakupoteza. Ndio Siku ya kuonyesha kuwa wewe ni shujaa, jasiri.

Elewa, watekaji na wauaji Saikolojia Yao inapata Ñguvu zaidi pale wanapohisi kuwa wanayeenda kumteka anaogopa Kufa. Siô ajabu wakija chakwanz hutoa Silaha zào kukutisha na kukuambia watakuua.

Watekaji wanapogundua Huogopi Kufa hofu huwaingia na Hapo huwa na machaguo mawili àmbayo watayafanya Bila weledi. Chaguo la Kwanza ni Kukuua papohapo au kuondoka Kwa sababu watekaji wôte huwa na woga wa kuuawa.

Usiwe na huruma
Usiwe na ubinadamu Kwa Mtu yeyote àmbaye hataonyesha ubinadamu kwako.

Usijali matokeo ya Maamuzi yako KW Mtu anayetaka kukuteka au kukuua.
Usiwaze Familia.
Usiwaze Serikali
Usiwaze Wazazi
Usiwaze Mungu
Unachotakiwa kukifanya Muda huo ni kujiokoa Kwa gharama yoyote na Kwa namna yoyote Ile.
Unahaki ya kujilinda na Kulinda uhai wako Kwa gharama yoyote Ile.

Siô Kosa kumuua anayetaka Kukuua. Hata ukifungwa usijisikie vibaya wewe ni shujaa.
Usiogope Kufa ila epuka kufa kizembe.
Hivyo ndîvyo Watibeli tulivyo.

Acha nipumzike sasa

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa Sasa Dar es salaam
 
Kwema Wakuu!

Nimeona clip ya Mwanaume mmoja àmbaye alikuwa anatekwa Mchana kweupe pee, mbele za Umma.

Ikitokea upo katika Hali kama hiyo. Fanya utakachofanya, pigana utakavyopigana, jitahidi kadiri uwezavyo lakini Kamwe usiruhusu wakuchukue ukiwa mzima.

Ni ufe au wakuue mbele za halaiki ujulikane uliuawa mbele za Watu kuliko wakakuue mafichoni.

Usiogope Kufa mbele za Watu.
Kufa mbele za Watu ni ushujaa.

Wakuue kama Mbwa Mwizi au Paka shume ni akheri hivyo kuliko wakukamate wakakuulie mafichoni.

Kama hawatafuata utaratibu, waambie watakuchukua ukiwa umekufa na onyesha hivyo.
Usiogope Kufa mbele za Watu ukiwa unajitetea.

Wakikupeleka mafichoni utaumia Sana. Utateseka Sana. Utakufa Kifo kibaya Sana.
Lakini mbele za Watu litakuwa pambano Bora Kabisa la kishujaa. Hautateseka. Haitakuchua dakika Kumi kama ni wakufa utakuwa umekufa.
Mbele za halaiki utakuwa na uwezo hata wa kurusha ngumi lakini mafichoni Hilo halitatokea.

Huna sababu ya kuogopa yeyote linapokuja Swala la kutetea uhai wako.

Nasisitiza, onyesha Kabisa upo tayari Kufa na yeyote au mwenyewe lakini siô kukamatwa kama Swala au Kuku.

Hiyo ndîo íwe Siku uliyokuwa unaisubiria Kwa Hamu. Siku ya Kifo chako. Siku ya Kifo chako Huna sababu ya kuwa mwoga. Kwa sababu hutakuwa na chakupoteza. Ndio Siku ya kuonyesha kuwa wewe ni shujaa, jasiri.

Elewa, watekaji na wauaji Saikolojia Yao inapata Ñguvu zaidi pale wanapohisi kuwa wanayeenda kumteka anaogopa Kufa. Siô ajabu wakija chakwanz hutoa Silaha zào kukutisha na kukuambia watakuua.

Watekaji wanapogundua Huogopi Kufa hofu huwaingia na Hapo huwa na machaguo mawili àmbayo watayafanya Bila weledi. Chaguo la Kwanza ni Kukuua papohapo au kuondoka Kwa sababu watekaji wôte huwa na woga wa kuuawa.

Usiwe na huruma
Usiwe na ubinadamu Kwa Mtu yeyote àmbaye hataonyesha ubinadamu kwako.

Usijali matokeo ya Maamuzi yako KW Mtu anayetaka kukuteka au kukuua.
Usiwaze Familia.
Usiwaze Serikali
Usiwaze Wazazi
Usiwaze Mungu
Unachotakiwa kukifanya Muda huo ni kujiokoa Kwa gharama yoyote na Kwa namna yoyote Ile.
Unahaki ya kujilinda na Kulinda uhai wako Kwa gharama yoyote Ile.

Siô Kosa kumuua anayetaka Kukuua. Hata ukifungwa usijisikie vibaya wewe ni shujaa.
Usiogope Kufa ila epuka kufa kizembe.
Hivyo ndîvyo Watibeli tulivyo.

Acha nipumzike sasa

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa Sasa Dar es salaam
Sasa wakati anapiga kelele za kujiokoa mbona wananchi walipotezea?, labda tabia zake wanazijua, (mhalifu sugu),hata hivyo kuna taratibu njema za kudeal nae
 
Na hii ndio falsafa yangu! Tuuane hapahapa, tujeruhiane hapahapa au mmoja akimbie.

Kifo cha mateka ni kifo kibaya kuliko vifo vyote
 
Pia Nchi hii hatuko vitani,

Viongozi wa Serikali walioapa kutulinda kupitia vyombo vilivyopo kikatiba waondoshwe Kwa kushindwa KAZI,

Hayupo vitani Hadi tuwaze kupambania uhai,

Nchi ya kidemokrasia hii, Uhuru wa Kutoa maoni uheshiniwe maana upo kikatiba.
 
Sasa wakati anapiga kelele za kujiokoa mbona wananchi walipotezea?, labda tabia zake wanazijua, (mhalifu sugu),hata hivyo kuna taratibu njema za kudeal nae

Ali Kibao alipokamatwa kûna aliyemsaidia?

Linapokuja Swala la Kúpigania uhai hunasababu ya kusubiri msaada.

Kama unavyoona Kwa Hammas pale Palestine.
NI mapambano mpaka mwisho
 
Kwema Wakuu!

Nimeona clip ya Mwanaume mmoja àmbaye alikuwa anatekwa Mchana kweupe pee, mbele za Umma.

Ikitokea upo katika Hali kama hiyo. Fanya utakachofanya, pigana utakavyopigana, jitahidi kadiri uwezavyo lakini Kamwe usiruhusu wakuchukue ukiwa mzima.

Ni ufe au wakuue mbele za halaiki ujulikane uliuawa mbele za Watu kuliko wakakuue mafichoni.

Usiogope Kufa mbele za Watu.
Kufa mbele za Watu ni ushujaa.

Wakuue kama Mbwa Mwizi au Paka shume ni akheri hivyo kuliko wakukamate wakakuulie mafichoni.

Kama hawatafuata utaratibu, waambie watakuchukua ukiwa umekufa na onyesha hivyo.
Usiogope Kufa mbele za Watu ukiwa unajitetea.

Wakikupeleka mafichoni utaumia Sana. Utateseka Sana. Utakufa Kifo kibaya Sana.
Lakini mbele za Watu litakuwa pambano Bora Kabisa la kishujaa. Hautateseka. Haitakuchua dakika Kumi kama ni wakufa utakuwa umekufa.
Mbele za halaiki utakuwa na uwezo hata wa kurusha ngumi lakini mafichoni Hilo halitatokea.

Huna sababu ya kuogopa yeyote linapokuja Swala la kutetea uhai wako.

Nasisitiza, onyesha Kabisa upo tayari Kufa na yeyote au mwenyewe lakini siô kukamatwa kama Swala au Kuku.

Hiyo ndîo íwe Siku uliyokuwa unaisubiria Kwa Hamu. Siku ya Kifo chako. Siku ya Kifo chako Huna sababu ya kuwa mwoga. Kwa sababu hutakuwa na chakupoteza. Ndio Siku ya kuonyesha kuwa wewe ni shujaa, jasiri.

Elewa, watekaji na wauaji Saikolojia Yao inapata Ñguvu zaidi pale wanapohisi kuwa wanayeenda kumteka anaogopa Kufa. Siô ajabu wakija chakwanz hutoa Silaha zào kukutisha na kukuambia watakuua.

Watekaji wanapogundua Huogopi Kufa hofu huwaingia na Hapo huwa na machaguo mawili àmbayo watayafanya Bila weledi. Chaguo la Kwanza ni Kukuua papohapo au kuondoka Kwa sababu watekaji wôte huwa na woga wa kuuawa.

Usiwe na huruma
Usiwe na ubinadamu Kwa Mtu yeyote àmbaye hataonyesha ubinadamu kwako.

Usijali matokeo ya Maamuzi yako KW Mtu anayetaka kukuteka au kukuua.
Usiwaze Familia.
Usiwaze Serikali
Usiwaze Wazazi
Usiwaze Mungu
Unachotakiwa kukifanya Muda huo ni kujiokoa Kwa gharama yoyote na Kwa namna yoyote Ile.
Unahaki ya kujilinda na Kulinda uhai wako Kwa gharama yoyote Ile.

Siô Kosa kumuua anayetaka Kukuua. Hata ukifungwa usijisikie vibaya wewe ni shujaa.
Usiogope Kufa ila epuka kufa kizembe.
Hivyo ndîvyo Watibeli tulivyo.

Acha nipumzike sasa

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa Sasa Dar es salaam
Ukp Sawa kabisa mkuu hawa siku wakiingia kwenye 18 zangu labda wanipulizie dawa za usingizi kabla hawajanisogelea otherwise ntahakikisha nawapofusha macho au kuwaharibu sura kabisa ili hata wakifanikiwa kuniua wabaki na kumbukumbu
Hii nchi sio salama sana hupaswi kutembea kizembe hakikisha una chochote mfukoni ukose siraha kali kutokana na sheria za nchi yetu ila angalau uwe na kisu, au hata kichupa cha kemikali hatari ili ikitokea popote wameingia anga zako hakikisha unakufa ukiwaachia alama au vilema
 
Ishawah nitokea natoka zangu bank nipo kwa pkpk nyuma yangu nakuta kuna gar ipo speed gafla ikanibania nuzu niingie mtaron zikashuka njemb tatu zikaniamuru nitoke nazo nikapiga hesabu za fasta then nikajibu kama kuna mwanaume aniguse mana naona mmekosa kaz za kufanya mnamchukulia kila mmoja wa kumteka jamaa akapanik akanionesha bastora nikamwambia aya nilenge ya kwenye kichwa na sio kwamb sina taarifa yenu ningetaka kuwa ua ningewaua tokea mnakotoka mana kat yenu kuna watu wangu jamaa wakaona hapa sio penyewe wakasepa nikasema mngejua huu ni mkwara tu mngenibeba kwa viboko
 
Waliosema kwamba sisi ni maiti zinazotembea naanza kumuelewa, yaan mtu anachukuliwa ki nguvu mbele yenu na mnashindwa hata kurusha jiwe. Sawa inaweza kuwa unaogopa kuwafuata Kwa sababu yawezekana Wana mguu wa kuku lakini hata Kwa mbali kurusha hata jiwe??
 
Ishawah nitokea natoka zangu bank nipo kwa pkpk nyuma yangu nakuta kuna gar ipo speed gafla ikanibania nuzu niingie mtaron zikashuka njemb tatu zikaniamuru nitoke nazo nikapiga hesabu za fasta then nikajibu kama kuna mwanaume aniguse mana naona mmekosa kaz za kufanya mnamchukulia kila mmoja wa kumteka jamaa akapanik akanionesha bastora nikamwambia aya nilenge ya kwenye kichwa na sio kwamb sina taarifa yenu ningetaka kuwa ua ningewaua tokea mnakotoka mana kat yenu kuna watu wangu jamaa wakaona hapa sio penyewe wakasepa nikasema mngejua huu ni mkwara tu mngenibeba kwa viboko
We blaza em acha ujinga basi
 
Ukiachana na ubonge jamaa yupo fiti Sana anajiweza Sana.
Nakupinga kwa Hilo kk jamaa alitakiwa adili na kale ka bwana mdogo tu akapigize Moja chini au kwenye gari kupumguza upinzani alafu ndio adili na yule mwingine alie onekana angalau ananguvu kidogo yule dogo alikata moto mapema sana sema jamaa sio mpiganaji yule.

Pale kakukuhitaji mapigano makali ni judo tu unamchota una mwaga una malizia na kasus Geri Moja matata sana ya kichwa au shingoni, au kifuani wote wangepoteza matumaini walio kuwa nayo na wangeingiza baridi kisha ndio unafunga sasa pambano. Nakwambia Mzee wale kilicho kua kina wapa nguvu ni silaha kama kweli walikuja nazo na Ile mamlaka imewatuma.


Ulinzi wa raia na mali zake


Shit hole county. Where is TISS, Section 10. Zitusaidie hata kwa mashinikizo covert operation.
Usalama wa wananchi unafifishwa na serikali kupitia vyombo vinavho wajibika kulinda uhai,usalama na amani ya wananchi
 
Inabidi pia kuhimiza mazeozi ya viungo na pia kutembea na vitu vidogo vidogo vinavyoweza kukunasua 😏
1000015980.jpg
 
Kwanza jiepushe na vitu vitakavyofanya utekwe na wale jamaa...

Tumia Akili, acha kukurupushwa na Mihemuko na Hisia.

Politics is the game of the "goons", try your best to stay clear, or you’ll be dancing with tombs.
 
Back
Top Bottom