Itzmusacmb
JF-Expert Member
- Jun 22, 2016
- 1,531
- 1,134
Sawa mkuu ni engine yenye umbo la V lenye cylinder 6,8 na kuendelea.Habari,
jaman anayeuliza anataka kujua , huwa nasikia tuu V8 na sielew ina maana gani anayefahamu msaada tafadhari
V engine with 8 cylinders.
Cylinder ndyo Piston au ni vitu viwili tofauti?V engine with 8 cylinders.
Cylinder ndyo Piston au ni vitu viwili tofauti?
Kwahyo kama gari ina cylinder 8 na piston ni 8, c ndyo?Piston ndio inayokung'uta mpododo kwenye cylinder
Yes! Na kama engine ni V type na cylinder ni 6 inaitwa V6. Kama 12 inaitwa V12 hii ni kwa magari makubwa ya mizigo(HDV)Kwahyo kama gari ina cylinder 8 na piston ni 8, c ndyo?
Yes! Na kama engine ni V type na cylinder ni 6 inaitwa V6. Kama 12 inaitwa V12 hii ni kwa magari makubwa ya mizigo(HDV)
Mwenzako kuuliza tu V8 ni nini, ndo imekuwa kila kitu..??Kwani kuna ulazima wa kila kitu ww kukijua? Sasa ukishajibiwa hilo uliza maana ya Scania 124.
kwa hyo VX ina X cylinder?Kwa ufahamu wng mdogo, V ni aina ya engine iliyoundwa mfano wa herufi"V" na 8 ni idadi ya cylinder zilizopo kwenye Engine hiyo.
Ingewzekana jf wangeweka sheria ya under 18Kwani kuna ulazima wa kila kitu ww kukijua? Sasa ukishajibiwa hilo uliza maana ya Scania 124.
Ungeonekana wa maana sana kama unge tolea ufafanuzi zaid juu ya hicho ulicho mkanusha mwenzio.Hakuna gari ya mzgo yenye V12
Kuna v12 gari ndogo nyingi tu. mfano mercedes benz s600 v12 bi-turbo.Yes! Na kama engine ni V type na cylinder ni 6 inaitwa V6. Kama 12 inaitwa V12 hii ni kwa magari makubwa ya mizigo(HDV)
Hakuna gari ya mzgo yenye V12
sasa hapo sio engine tena ila ni series ya model ya kama landrover 109,110kwa hyo VX ina X cylinder?
naomba unisaidie licha ya ufaham wako mdogo
usibishe kitu usichokijua bila kufanya utafiti wa kina au kuleta ushahidi kama una uhakika. Kwani google imewekwa ya kazi gani?
[emoji13] [emoji14] [emoji12]kwa hyo VX ina X cylinder?
naomba unisaidie licha ya ufaham wako mdogo