Wanariadha 8 wa Tanzania Kushiriki All African Games, Accra Ghana 2024

Melubo Letema

JF-Expert Member
Joined
Apr 1, 2020
Posts
416
Reaction score
414
Wanariadha 8 wanatarajia kushiriki na kushindana kwenye Mashindano ya African Games (All African Games) yanayotarajia kufanyika kuanzia tarehe 8 - 23 Machi , 2024 huko Jijini Accra Ghana.

Michezo itachezewa kwenye miji mitatu; Accra, Kumasi na Cape Coast, na michezo itayochezwa ni pamoja ni pamoja na riadha, Tennis, mieleka, Ngumi, wavu na mingine kama (Badminton, Beach volleyball, Chess, Cricket) .

Kutakuwa na wanariadha wa kimaitaifa , washiriki zaidi ya elfu 5 (5,000) Michezo hiyo, ni sehemu ya kutafuta kufuzu kwa mashindano ya Olimpiki yatakayofanyika Paris, Ufaransa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…