Wanasaikolojia wa mapenzi (ngono), msaada kwenye tuta tafadhalini

Wanasaikolojia wa mapenzi (ngono), msaada kwenye tuta tafadhalini

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Ni kwanini mwanaume yoyote yule akiwa ameshamtongoza mwanamke na wameshakubaliana kwenda iwe ni ghetoni kwa mwanaume au Gesti kama siyo Loji basi lazima tu mwanaume ndiyo atakuwa anaongoza msafara (anatangulia mbele) muda wote.

Lakini, baadaye wakishamaliza 'Uzinifu' wao hilo jambo hubadilika na muongoza msafara mkuu sasa wa kutoka na kuelekea majumbani mwao kila mmoja huwa ni mwanamke na mwanaume huwa anakuwa nyuma na hata ‘spidi ‘ yake huwa imepungua tofauti na ile ya mwanzo?

Nitashukuru wanasaikolojia mliopo hapa jamvini (jukwaani) JamiiForums mkitufafanulia na Kutuchambulia sisi tusiofahamu.
 
Sijawahi kupractice hii kitu, ila kisaikolojia kabla ya tendo mwanaume anakua anaongozwa na kichwa cha chini/cha pili wakati huo mwanamke anakua na mawazo mengi sana kwa kile kinachoenda kutokea.

Baada ya tendo ni uchovu unaomfanya mwanaume kubaki nyuma huku mwanamke akiwa na haraka ya kurudi nyumbani.
 
Sijawahi kupractice hii kitu, ila kisaikolojia kabla ya tendo mwanaume anakua anaongozwa na kichwa cha chini/cha pili wakati huo mwanamke anakua na mawazo mengi sana kwa kile kinachoenda kutokea.

Baada ya tendo ni uchovu unaomfanya mwanaume kubaki nyuma huku mwanamke akiwa na haraka ya kurudi nyumbani.

Shikamoo Mkuu.
 
Wanasema huwezi piga kampeni kama ushindi ushapata wacha wananchi ndo washangilie...ukishadinya ushakua raisi hamna haja ya uharaka wananchi ndo wanakua kimbelembele siku ya kuapishwa kuwahi siti
 
Back
Top Bottom