GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Hii ni tofauti kabisa na KUKU. Kabla ya tendo JOGOO huwa nyuma akifukuzia. Baada ya tendo mtetea huchomoka wa kwanza mbele ya jogoo huku akijipangusa pangusa kwa hisia.
Wew kwel ni popoma
Sijawahi kupractice hii kitu, ila kisaikolojia kabla ya tendo mwanaume anakua anaongozwa na kichwa cha chini/cha pili wakati huo mwanamke anakua na mawazo mengi sana kwa kile kinachoenda kutokea.
Baada ya tendo ni uchovu unaomfanya mwanaume kubaki nyuma huku mwanamke akiwa na haraka ya kurudi nyumbani.
Wew kwel ni popoma
Wew kwel ni popoma
Nilijua tuPamoja na Shangazi yako / Mjomba wako.
Mimi jogoo wangu tofauti mbona!Hii ni tofauti kabisa na KUKU. Kabla ya tendo JOGOO huwa nyuma akifukuzia. Baada ya tendo mtetea huchomoka wa kwanza mbele ya jogoo huku akijipangusa pangusa kwa hisia.
HAaah haaaa haaaa, wako yukojeMimi jogoo wangu tofauti mbona!
Ana tabia za mtoa mada!H
HAaah haaaa haaaa, wako yukoje
Naomba asione hapa maana,.......Ana tabia za mtoa mada!
Hahahah kumbe ndo hua unamfanyia ivo duuuhNaomba asione hapa maana,.......