Wanasanaa waaswa waende shule

Wanasanaa waaswa waende shule

Criterion

JF-Expert Member
Joined
Jan 8, 2008
Posts
11,797
Reaction score
11,891
Sanaa ni taaluma. Wasanii waliolitambua hili, walitafuta elimu sahihi ya sanaa, na kufanya kazi kwa utaalmu huvu wakizingatia maadili ya kazi na bila kupoteza utu wao. Tofauti na wanaojiita wasanii wa bongo. Sanaa ya bongo inafanay mtu ashindwe kuelewa kama hii sanaa ni kwa ajili ya matumizi sahihi ya binadamu au ni uwakala wa shetani duniani.

Sanaa sasa imetawaliwa na ujinga, ushamba, ulimbukeni, ufuska, kukosa mwelekeo na uharibifu wa tamaduni za nchi.

Mfano hiki kijukuu. Sijawahi kukiona kinafanya sanaa yoyote ya maana zaidi ya kuvuma katika matukio ya ukahaba na ugomvi wa kugombania wanaume. Hii nayo ni sanaa?

Na sasa naona kuan mtu aliyefanya kazi nacho, anajuta baada ya kugundua namna kilivyo kijinga. Je sanaa ni ujinga, umalaya, ushambenga, ushangingi na ugomvi wa mapenzi?
Namna gani watu kama huyu wanaweza kusaidika ikiwa hata vichwani hazimo?

 
Huyu Dada humpendi loohh!kama kakuchukulia mume!

Always negativity towards her but let me tell uu,"There is the thin line between Hate and love"

Toka nilipojua hvyoo nimeacha kuchukia mtu na nina amani!

Hapa Bongo wasanii wenye elimu ni wachache mnoo

Asikudanganye mtu katika watu maarufu wote unaowajua wewe 0.1% only ndo wamefanikiwa kwa jitihada zao binafsi 99.99 wamefika kwa Umalaya,ugomvi na kick!

Punguza chukiii!mama
 
Hivi mnawasema hawa wasanii kwa sababu ya kupungua umaarufu wa kazi zao za filamu na kushuka kwa soko au pana lingne? Nashangaa sijawahi kusikia wasanii wa bongo flavour wanaambiwa wakasome (lakini kiukweli wengi wao hawajasoma elimu ya sanaa)
 
Back
Top Bottom