Wanasayansi huu msemo umekaaje?

Wanasayansi huu msemo umekaaje?

cold water

JF-Expert Member
Joined
Oct 6, 2021
Posts
238
Reaction score
954
Kuna mda natamani kuachana na nilienae maana Kuna huu msemo watoto hurithi akili Kwa wazazi wao,Sasa nikicheki mimi nimeishia kidato Cha nne nilijaribu kumuuliza mwanaume wangu back ground yako ya shule anasema alikua anashika nafasi Sio nzuri ajawahi kuwa bright darasani au nimuache jamani,mana mimi nahitaji wanangu wasome nahitaji mwanaume mwenye akili wanangu warithi japo akili za baba yao mana ata mimi ni kilaza tu🥲🥲🥲🥲
 
Kuna mda natamani kuachana na nilienae maana Kuna huu msemo watoto hurithi akili Kwa wazazi wao,Sasa nikicheki mimi nimeishia kidato Cha nne nilijaribu kumuuliza mwanaume wangu back ground yako ya shule anasema alikua anashika nafasi Sio nzuri ajawahi kuwa bright darasani au nimuache jamani,mana mimi nahitaji wanangu wasome nahitaji mwanaume mwenye akili wanangu warithi japo akili za baba yao mana ata mimi ni kilaza tu🥲🥲🥲🥲
Njoo Dm tutajenge Kwa kwel naweza kukufaa ,
 
Kuna mda natamani kuachana na nilienae maana Kuna huu msemo watoto hurithi akili Kwa wazazi wao,Sasa nikicheki mimi nimeishia kidato Cha nne nilijaribu kumuuliza mwanaume wangu back ground yako ya shule anasema alikua anashika nafasi Sio nzuri ajawahi kuwa bright darasani au nimuache jamani,mana mimi nahitaji wanangu wasome nahitaji mwanaume mwenye akili wanangu warithi japo akili za baba yao mana ata mimi ni kilaza tu🥲🥲🥲🥲
Kibaologia baba anaweza kuwa kiraza, mama kiraza lakini mtoto akaja kuwa bright, Kuna uwezekano pia baba akawa bright,mama bright lakini mtoto akaja kuwa kiazi tu.

Baba anaweza kuwa bright, mama kiraza halafu mtoto akaja kuwa kiazi and vice versa.

Chill na huyo jamaa kwasababu hiyo ni probability kwenye genetics, watoto wanaweza kuwa na akili za mambabu na mabibi zao wa baadae.
 
kufaulu darasani au kutokufaulu sio msingi wa mafanikio ktk maisha!..
nje na kisomo maisha yana kanuni zake tofauti angalia kwenye game ya sanaa uone!.
kipaji huwa kinamtindo wa Kutengeneza lundo la pesa kushinda elimu!, so usikariri.
 
Kuna jamaa yetu tulivyo kuwa primary school alikuwa moto sana ila wazazi ni hawa hawa wa kitaa baba mjumbe mama muuza vijora ila ndy hvyo alikuwa hashikiki.
 
Ondo mawazo ya ufaulu wa kidarasa kwanza kama njia ya kufanikiwa kwanza...

Then watoto wanajengwa angali wadogo Kwa pamoja mnaweza kujenga kizazi Bora zaidi ya chenu.

Jiulize ukamuacha ukaenda Kwa unaedhani anaakili then MUNGU akasema wote wawe vilaza kama wewe itakuaje.
 
Kuna mda natamani kuachana na nilienae maana Kuna huu msemo watoto hurithi akili Kwa wazazi wao,Sasa nikicheki mimi nimeishia kidato Cha nne nilijaribu kumuuliza mwanaume wangu back ground yako ya shule anasema alikua anashika nafasi Sio nzuri ajawahi kuwa bright darasani au nimuache jamani,mana mimi nahitaji wanangu wasome nahitaji mwanaume mwenye akili wanangu warithi japo akili za baba yao mana ata mimi ni kilaza tu🥲🥲🥲🥲
Tanzania watu wengi wenye akili nzuri tu huwa wanafelishwa na mfumo.

Wewe zile shule za vijijini ambazo ilikuwa anafaulu mtu mmoja tu au shule miaka inapita hajafaulu mtu unafikiri watu wote wale walikuwa hawana akili?

Na shule yetu ya mjini moja tu mwaka wangu wamefaulu watu 102, idadi ambayo sehemu nyingine ni ya ufaulu wa wilaya nzima, unafikiri ni kwa sababu sisi wa mjini tulikuwa na akili sana kushinda wale wa vijijini?
 
kufaulu darasani au kutokufaulu sio msingi wa mafanikio ktk maisha!..
nje na kisomo maisha yana kanuni zake tofauti angalia kwenye game ya sanaa uone!.
kipaji huwa kinamtindo wa Kutengeneza lundo la pesa kushinda elimu!, so usikariri.
mfano kijana wetu diamond, yule dogo sidhani kama ana elimu kubwa kama si FFF! lakini ana mkwanja mwingi na ameajiri wasomi
 
Kuna mzazi mmoja alikuja shuleni kulalamikia walimu kwa nini mtoto wake hajui kusoma na kuandika wakati anahudhuria shule siku zote za masomo. Kwa kuwa alikuwa anabwatukia walimu alijibiwa mtoto hurithi vinasaba vya wazazi wake, karithi toka kwako ndio maana ni mzito kujua kusoma na kuandika hadi anafika darasa hili. Mzazi ilibidi awe mpole na kuepusha shari
 
Watoto wangu ni wadogo siwaelewi akili zao kama zitakuwa kama zangu darasani. Sijui kama watakuwa wanaongoza mitihani kwa wakati wote wafanyavyo mitihani kama baba yao mimi
 
Kuna mda natamani kuachana na nilienae maana Kuna huu msemo watoto hurithi akili Kwa wazazi wao,Sasa nikicheki mimi nimeishia kidato Cha nne nilijaribu kumuuliza mwanaume wangu back ground yako ya shule anasema alikua anashika nafasi Sio nzuri ajawahi kuwa bright darasani au nimuache jamani,mana mimi nahitaji wanangu wasome nahitaji mwanaume mwenye akili wanangu warithi japo akili za baba yao mana ata mimi ni kilaza tu🥲🥲🥲🥲
Watoto huchukua(hurithi)zaidi ya asilimia 80 ya akili kutoka kwa mama.
 
Back
Top Bottom