duh hawa watu sasa wanataka kutuua, hakuna kisicho na madhara bwana, wachina nao wanazakwao sasa unafikiri watashindwa kufoji na hiyo?
jamani nunueni dawa yangu,
ni ya kiasili na sijaona ikidhuru.
Nimeadvance madawa ya wamasai na wasukuma na nimepata matokeo mazuri sana kwenye utafiti wangu nilioufanyanya kwa wanafunzi wa vyuo mbalimbali.
Mkuu madogo yako wapi?
Huu mzigo muda si mrefu utashuka TZ