Wanasayansi wameshindwa kuzichakata DNA katika hali ya kiroho

Wanasayansi wameshindwa kuzichakata DNA katika hali ya kiroho

Magical power

JF-Expert Member
Joined
Sep 27, 2022
Posts
2,158
Reaction score
5,626
DNA, VINASABA

Kila mwanadamu amebeba taarifa za ukoo wake taarifa za vizazi na vizazi vya mababu zake, hizi DNA wanasayansi wamejitahidi kuzisoma na kuzichambua lakini wameshindwa kuzichakata katika hali ya kiroho zaidi.

Kama katika familia yako au mzazi wako ni mganga ama mchawi basi tambua na wewe ni mganga ama ni mchawi hata kama haijajionesha kwako DNA zenye taarifa ya uganga ama uchawi hazina tofauti na DNA zenye taarifa ya ualubino unaweza kubeba kinasaba cha ualbino lakin usiwe albino, ndivo dna za kichawi pia huwa unaweza beba dna hiyo ukajakutana na mtu ambae nae katoka familia ya kichawi ama kiganga basi jua kiumbe kitakacho zaliw hapo nikichawi au kiganga

Hiyo ni mifano tu sio kwenye uchawi pekee hata katika mali mtu huwa na mali nyingi kama ataishi na mtu ambae kwao wanavinasaba vya mali

ikiwa mmekutana kwenu wote ni maskini msahau kuja kuwa matajiri

Uzuri wa hizo dna unao uwezo wa kuzibadilisha kuondoa dna za ukoo wako na kuingiza zako unazo taka wewe. Najua unatoa macho kivipi ,,hii inawezekana kabisa....... tafuta maarifa

Hata makanisani wanajaribu tu kusema nakataa maagano ya mababu navunja kwa damu ya Yesu, nicheke kwanza😃,kweli mnajaribu kukataa hizo DNA lakini hamtafanikiwa cz hazitolewi kwa style hiyo ya kukemea

Kuna watu wametoka katika familia za kimaskini mno wanabaki kukazana kuwa ni laana ya ukoo si laana hizo ni damu za mababu zenu, na kila siku tunaingiza taarifa mbaya katika DNA zetu mfano unapojihusisha na usagaji au ushoga tambua hyo hali inaweza kuja kuwa na kinasaba cha kizazi chako chako cha mbele, sijui mnanielewa?

1733827543158.jpg
 
DNA, VINASABA

1733827543158.jpg
Kila mwanadam amebeba taarifa za ukoo wake taarifa za vizazi na vizaz vya mababu zake, hizi DNA wanasayansi wamejitahid kuzisoma na kuzichambua lakin wameshindwa kuzichakata katika hali ya kiroho zaidi.

Kama katika familia yako au mzaz wako ni mganga ama mchawi basi tambua nawewe nimganga ama nimchawi hata kama haijajionesha kwako DNA zenye taarifa ya uganga ama uchawi hazina tofauti na DNA zenye taarifa ya ualubino unaweza kubeba kinasaba cha ualbino lakin usiwe albino, ndivo dna za kichawi pia huwa unaweza beba dna hiyo ukajakutana na mtu ambae nae katoka familia ya kichawi ama kiganga basi jua kiumbe kitakacho zaliw hapo nikichawi au kiganga.

Hiyo nimifano tu sio kwenye uchawi pekee hata katika mali mtu huwa na mali nyingi kama ataishi na mtu ambae kwao wanavinasaba vya mali.

Ikiwa mmekutana kwenu wote nimaskin msahau kuja kuwa matajiri.

Uzuri wa hizo dna unao uwezo wa kuzibadilisha kuondoa dna za ukoo wako na kuingiza zako unazo taka wewe najua unatoa macho kivipi, hii inawezekana kabisa. Tafuta maarifa.

Hata makanisani wanajaribu tu kusema nakataa maagano ya mababu navunja kwa damu ya yesu, nicheke kwanza😃, kweli mnajiribu kukataa hizo DNA lakin hamtafanikiwa cz hazitolewi kwa style hiyo ya kukemea.

Kuna watu wametoka katika familia za kimaskin mno wanabaki kukazana kuwa ni laana ya ukoo si laana hzo ni damu za mababu zenu, na kila siku tunaingiza taarifa mbaya katika DNA zetu mfano unapojihusisha na usagaji au ushoga tambua hyo hali inaweza kuja kuwa na kinasaba cha kizaz chako chako cha mbele sijui mnanielewa?
 
Najua huu Uzi utakela wengi mana apo mwisho Kwenye kukemea usagaji na ushoga nimepiga watu Kwenye mshono,lakini n elimu tu msiniwekee chuki masela wangu🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom